Recent content by Bumble Bee

  1. B

    Internet satellite dish msaada

    Wacheki Blink , speed ya kuridhisha sana. angalia attached pic kuona plan zao baada ya installation, ila installation itakucost around $500 au zaidi. PS: Ninawatumia personally na sehemu ni very remote ambapo hakuna internet coverage ya telecom companies au ni 2g tu ndo inashika(zaidi ya moja)...
  2. B

    Wakati wa Kuanzisha Jukwaa la Wahandisi wa Program umewadia

    Mods wanapaswa kusikia kilio chetu aisee, Sidhani kama kuna vikwazo vyovyote kuanzisha subforum. Na hii ndo njia pekee iliyobaki itayosaidia kurudisha activeness na uchangiaji mathubuti wa wahandisi simba. Naunga mkono hoja.
  3. B

    Tekinolojia inayotumiwa na whatsapp ya ENCRYPTION

    Duh! kumbe encryption hamna kitu!! hehe sikujuaga! au unaongelea caesar cipher sio AES
  4. B

    Hasara za Kukurupuka! Jinsi ya kudownload nyimbo bure Wasafidotcom

    hizi field za watu mkuu,sio kila mwenye vyeti vya computer science sijui it basi anawezakua programmer,,wengine walifata mkumbo pia. Mi nasemaga haya mambo yanaitaji kipaji pia na uvumilivu wa hali ya juu ili uwe profeshino.
  5. B

    Hasara za Kukurupuka! Jinsi ya kudownload nyimbo bure Wasafidotcom

    mleta mada kasema unaunganisha https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/ na wimbo wenyewe ambao upo kwenye folder la uploads yani kama hivi , uploads/03.Navy Kenzo Feat Patoranking - Bajaj.mp3. Kwaio link kamili inakua https://wasafi.objects-us-west-1.dream.io/uploads/03.Navy Kenzo Feat...
  6. B

    Hasara za Kukurupuka! Jinsi ya kudownload nyimbo bure Wasafidotcom

    dah!hivi wausika hawajaona au jeuri? Naona album nzima ya navy kenzo iliyotoka kuwekwa, embu wapelekeeni taarifa huko insta.
  7. B

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa KInzudi, Goba

    Eneo-Kinzudi Goba Ukubwa-18kwa20 Bei-million12 Maji Na Umeme Vipo Maelewano yapo More Details NiPM
  8. B

    Kiwanja kinauzwa Mbezi

    mkuu kinachokwamisha watu ni lugha chafu na za dhihaka zinatotumika,Mtu anaandika maelezo ya kina lakini majibu yanayofuata yanaambatana na matusi,wengine ni waoga wa hilo na si kila binaadamu ana ujasiri wa kukabiliana na Negativities,Mtu mpaka anataja vipimo na mahala na bei manake wamekna kwa...
Back
Top Bottom