Recent content by bulu

  1. B

    Marekani: Sen Bob Menendez amtaka Rais Trump kusaidia kuiokoa Tanzania kutokana na wimbi la kurudi nyuma kwa Demokrasia

    Mbaya sana ku-attract CIA kukufuatilia kwa karibu. Mataifa makubwa yanaichukulia Tanzania tofauti kabisa na Uganda, Rwanda, Burundi, DRC etc. Ndiyo maana karibia kila mwaka viongozi wakubwa toka US wanatembelea nchi yetu. Serikali hii itafakari njia zake, mwanzo wa ngoma ni lele.
  2. B

    Anayefahamu wilaya ya KALAMBO-RUKWA

    Huyo ndugu yako ni CO, MD, LAB-TEC ama nurse mkuu? Kwa ujumla Kalambo ni kuzuri, niwekee namba yake ya sim PM kuna watu wako kule wanaweza mpokea
  3. B

    Kuna hoja nyingi za kutokukubaliana na Dr. Nchemba

    Zamani nilikuwa nashangaa inawezekaneje mtu mwenye umri wa miaka 20s, 30s anakuwa kiongozi wa nchi! Serikali hii imenifanya nione kumbe ni jambo la kawaida kwani matendo ya serikali hii hayafanani na akili za watu wazima.
  4. B

    Inawezekanaje kunguru akaingia kwenye Engine ya ndege mpaka analeta hitilafu bila wao kujua?

    Ndege (mnyama) wanapo ingia kwenye injin ni hatari sana kwa usalama wa ndege. Kuna visa vingi tu vya ajali zinazo sababishwa na ndege ikiwemo ile maarufu iliyogonga kundi la bata mzinga huko Marekani mwaka 2009 na kulazimika kutua kwa dharula mto Hudson
  5. B

    Wanaume wengi tumeshindwa/ tutashindwa kutongozwa na wanawake na kukataa

    Mh! Mimi huwa natongozwa mara nyingi lakini huwa sidiriki kufungua zipu. Nakumbuka kabla sijaoa ndo nimemaliza tu Chuo kuna dada mmoja mke wa mwanajeshi alikuwa jirani yetu Dodoma alinisumbua sana mpaka alikuwa ananililia. Nilikuwa namwuliza ananipendea nini kwasababu mme wake ni handsome...
  6. B

    Usichokijua kuhusu wimbo wa kwanza wa Diamond "Nenda Kamwambie"

    Siku ya kwanza tu nilipo iona video ya NENDA KAMWAMBIE kupitia Star tv (bonga kama sikosei) nakumbuka nilimwambia mke wangu 'huyu kijana anajua kuimba na atafika mbali'.
  7. B

    Serikali imesema haitajihusisha na upangaji wa ada elekezi kwa shule za binafsi

    Hawa watu wakipata madaraka sijui akili zao huwa wanamwazima nani. Hivi kwa mfano wanao/walio soma Jamuhuri Sec hapo Dodoma wote wana uwezo kifedha?
  8. B

    Serikali yafuta fao la kujitoa katika mifuko ya hifadhi ya jamii

    Viongozi walioshiriki hizi njama za kuwadhulumu wanyonge Mungu awachukulie kama wauaji. Tatizo Watanzania wapole mno na elimu duni
  9. B

    Nini Kisa cha Mbunge Ally Kessy Kuichukia Zanzibar?

    Huwa anatumwa na wakubwa; kwa ujumla ukiondoa hilo la Zanzibar ni mtu poa sana
  10. B

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Huyo nyoka amewahi kumgonga mzee mmoja kijijini kwetu, yule mzee aliponea chupuchupu kwa dawa za mitishamba.
  11. B

    Rais Magufuli: Kila mwezi tunalipa deni la taifa shs bil 950, hivi tunakusanya ngapi na matumizi kiasi gani?

    Nafikiri lengo lake ni kutaka kuonesha yeye ni bora kuliko mtangulizi wake
  12. B

    Mdee: Kilimo kinachoajiri watanzania 75% tunaweka bil 11 ila ndege mabovu tunaweka trilioni

    Asubuhi hii nilikuwa naongea na wageni walio lala kwangu, wanasema kijijini kwao gunia la mahindi wanauza Sh. 8,000/- ukiwa na bahati ndo utauza Sh. 1,0000/-. Kijiji chao kipo umbali wa Km zisizo zidi 15 toka barabara kuu maarufu ya lami. Naona tunataka kuendeleza sekta nyingine kwa gharama za...
  13. B

    Kitakachotokea mitandao ya kijamii itakapofungwa kama China

    Mwanzoni mwa hii serikali baadhi tulifikiri sasa rekodi nzuri iliyotukuka ya Baba wa Taifa Mwl Nyerere inaenda kuvunjwa na mkuu. Lakini duu, tulikosea mno kufikiri hivo.
Back
Top Bottom