Recent content by Bullet99

  1. B

    JamiiForums Tanzania Miaka 5 kazini mshahara haujawahi kutana

    Ukipata ela nunua assets mm naamini katika msemo wa hela haikai, kila mtu anamapungufu yake ikifikia ishu ya Ela, unaweza ukawa hunywi pombe lakini unapenda vitu vingine.
  2. B

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwa hizi sababu Lissu anaweza kukosa sifa za kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye kumpa changamoto Mgombea wa CCM

    Awali chadema walikuwa wanayasema matatizo ya wananchi wanayoyaoata mfano hamna maji umeme barabara mbovu n.k, saivi no agenda yakuzungumza na hamtaki kubadili viongozi ili mpate mawazo mapya, naona ushindi wenu utakuwa finyu sanaaaaa hata mkimpa Tundu lissu awawakilishe.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

    Marekani wana mstress Iran ili atengeneze na kununua silaha hii inaifanya nchi nyingine za kiarabu zipate wasiwasi na kuitegemea Marekani moja kwa moja na kununua silaha kwao na kuomba ulinzi hence they return income to USA, what an economy.
Back
Top Bottom