Hayo ni maoni ya mhariri tu na wala hawakilishi maoni ya walal hoi. Yeye hapo anajaribu kukipaka mafuta kitumbua chake.
Katika vita dhidi ya UFISADI hapalaliki mpaka kieleweke.
Jina linakufaa hilo muishimiwa
Wewe ndiyo utuombe radhi na kuturudishia kilicho chetu
.
Hii inaonyesha upo katika nafasi hiyo ili kulitumikia tumbo lako na si taifa
Simpo, muambie kuwa wewe ni FISADI
Holly wood wamepata tenda hapa.
SEPETU AU KOLEO linaitwa hivyo na siyo "kijiko...
Mbunge wangu anatoka chama cha mafisadi. Nimemuuliza juu ya hili suala akanijibu kuwa huo mkataba ni siri. Nikamkumbusha kuwa siri huwa ni ya mtu mmoja tu ikishazidi hapo huwa siyo siri tena, aliishia kuguna tu.Sasa kwa kuwa umevuja kama zile paper za NECTA nimeamua kuukomalia mpaka kieleweke.
Kama ni kweli kuwa bwana Hosea ametoa kauli hii sitegemei kuwa atakuja na kauli reversed.
Wacha tusubiri, hapo juu tumesoma tu kuwa kunategemewa kufanyika mechi ya KASHFA YA RADAR dhidi ya TAKUKURU. Uhakika wa mpambano huo kufanyika ni jambo la kusubiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.