Recent content by bulicheka

  1. B

    Tanzania: Utawala bora vs Rushwa

    Hayo ni maoni ya mhariri tu na wala hawakilishi maoni ya walal hoi. Yeye hapo anajaribu kukipaka mafuta kitumbua chake. Katika vita dhidi ya UFISADI hapalaliki mpaka kieleweke.
  2. B

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Jina linakufaa hilo muishimiwa Wewe ndiyo utuombe radhi na kuturudishia kilicho chetu . Hii inaonyesha upo katika nafasi hiyo ili kulitumikia tumbo lako na si taifa Simpo, muambie kuwa wewe ni FISADI Holly wood wamepata tenda hapa. SEPETU AU KOLEO linaitwa hivyo na siyo "kijiko...
  3. B

    The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Mbunge wangu anatoka chama cha mafisadi. Nimemuuliza juu ya hili suala akanijibu kuwa huo mkataba ni siri. Nikamkumbusha kuwa siri huwa ni ya mtu mmoja tu ikishazidi hapo huwa siyo siri tena, aliishia kuguna tu.Sasa kwa kuwa umevuja kama zile paper za NECTA nimeamua kuukomalia mpaka kieleweke.
  4. B

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Hii ni moto wa kuotea mbali. Mwaka huu piga ua kitaeleweka tu.
  5. B

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Taratibu wanaanza kujivua magamba yao. 2007 uwe ni mwisho wa mafisadi Bongo.
  6. B

    The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Na wote waliosapoti move aliyoianzisha
  7. B

    The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Hapo ni mkutano na wanahabari tu macho yamemtoka kama mjusi aliyebanwa na lango. Huko kwa Pilato atakuwaje?
  8. B

    Tujikumbushe sakata la Rada

    Kama ni kweli kuwa bwana Hosea ametoa kauli hii sitegemei kuwa atakuja na kauli reversed. Wacha tusubiri, hapo juu tumesoma tu kuwa kunategemewa kufanyika mechi ya KASHFA YA RADAR dhidi ya TAKUKURU. Uhakika wa mpambano huo kufanyika ni jambo la kusubiri.
Back
Top Bottom