Mpe pole saana.Mimi hata week haijaisha niliingizwa mjini namna hivyo hivyo tena sekunde mbili baada ya kuingiza hela kwa wakala msg zikafuàtana za 500k na simu juuu .Kushituka nimeshatuma 240k .Hadi sasa nàdaiwa na wakala fedha yake. Shida ni kuwa si TCRA wala POLICE CYBER CRIME DEPT...
Polee we,na karibu ndani ya club ya wahanga wa MITANDAONI. Juzi nilileta uzi wa kujinjwa pesa kupitia tigo pesa wachangiaji wakaninanga saana. Jàmani haya mambo yanaweza kukutokea ukabaki unashangaa hasa baada ya kuibiwa. Pole tena Jamaa yangu.
Uliyoandika ni kweli mkuu,sasa hivi nimebaki kapuku.Nilianza mradi wa magari nikawapa wadogo zangu wakati huo wanaishi kwangu mwisho wa siku nimeuzia Kila kitu garage. Safari hii nimejiunga bajaj mbili nimempa mtoto wangu moja aendeshe nyingine asimamie amini nakuambia nimeuza zote nimebàki...
Hakika ni kipindi kigumu saana kwa wanaojifungua kuanzia sasa hadi uchaguzi upite. Wahitaji watakuwa wengi kuliko upatikanaji wake.EE MOLA TUSITIRI WAJAA WAKO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.