Je huu mfumo wa TRA kwa nini hawajaintegrate na mfumo wa NIDA ili kupunguza kupata data ambazo ni tatizo huko mbeleni. Je kwa nini wasingetumia mfumo wa TUME YA AJIRA AMBAO TAYARI UPO.....
Kama TAIFA TUNARUDI NYUMA.
Mwenendo wa Simba sio mzuri kwa hii miaka miwili sasa kutokana na Viongozi kutosimama imara. Pia Viongozi wa Simba kuruhusu Jeneza kuingia Uwanjani Siku ya Simba Day ilikuwa sio nzuri kwa mustakabali wa kiimani za watu.
Simba kutoka hapa tulipo wafanya yafuatayo Msimu Ujao
Kuondoa wachezaji...
Wanasimba tunapigwa pigo jingine, Yanga wapo mbioni kumchukua Phiri azibe nafasi ya Kisinda na Okra azibe nafasi ya Morrisson.
Wana Simba kutokana na Robertinho kutowakubali hao, mwakani tena maumivu.
Viongozi wa Simba Mashabiki na wanachama liangalieni sana suala la wachezaji wa Simba kuna wachezaji SImba wameridhika na matokeo ya huko Nyuma hawajitumi wala kuumia. Mfano Chama anakosa goli wala hauumiii, Mwakani tulete damu nyingine yenye uchu wa matokeo.
Why mwl hawachezeshi PHIRI na OKRAH...
Ligi yetu bado sana ushindani ni mdogo kwa sababu ya siasa za mpira wetu. Mfano kesho Singida Big stars unategemea kesho watoe upinzani against Yanga lakini utaona watakavyobehave. Hili ni janga kwa timu zetu.
Watu wanasema SImba na Namungo wanauhusiano lakini me nasema big no kwa sbb Namungo...
Ukiangalia ratiba ya CAF bora Yanga wakamalize mechi zote Singida. Kwanza Singida ni mtoto wao atwaachia tu.
Ikitokea wamefuzu kucheza fainali kuna mechi za home and away tar 28 mei na tar 02 juni kwa hiyo kuacha kucheza hiyo mechi ya FA itaharibu ratiba ya FA lakini pia wao itawapa ugumu wa...
Serikali ikae na kuangalia kwa umakini wazo la Prof. Kitila Mkumbo. Ajira zote zipite secretariate ya ajira full stop ili na watoto wa masikini wapate ajira. Zikipita huko vyuoni wataanza kuweka ndugu na jamaa.
Issue ya walimu TAMISEMI waisimamie tu kwani TSC haina huo uwezo watawekana ndugu...
Simba kila wakati imekuwa ikisajili wachezaji wazuri sana. Tatizo kuna wachezaji pale Simba hawataki kukubali kuwa muda wao umeisha. Kwa hiyo SIMBA walifnyikie kazi. Mnaweza kuona PHIRI alichofanyiwa banda kapombe.
Wanasimba tuamke hawa wazee waliopo SIMBA bocco mkude mikataba ikiisha wasepe...
Kwa mila na Desturi zetu za Kitanzania. Jamaa aliyeoa dada yako hata siku moja SIO NDUGU YAKO. Hii kitu inote kwa sababu kwanza kabisa dada yako akifariki jamaa anaenda kumzika kwao. Watoto wote anaandika majina yake. Mali zote anaandikisha either MAMA YAKE au Mdogo wake wa Kiume au watoto...
Simba tufanye mambo haya;
1. Kudhibiti kambi yetu.
2. Kuhakikisha uchawi wa Yanga tunautegua.
3. Viongozi wa Simba wawe na ushirikiano.
Mwisho, Simba tukifanikiwa kudhibiti katikati na pembeni tunashinda. MHM simba tuwe na discipline ya kucheza katikati pia kuhakikisha hatuachi space kubwa...
Baada ya Simba kufika QF msimu huu kuna kitu kimoja nimekiona na Mchambuzi wa AZAM SPORTS amekiongelea sana Ndugu Ramadhan Mwaduke.
SIMBA inatatizo hili kwa muda mrefu sasa at least YANGA wanauwezo wa kupambana nalo. SIMBA ikizidiwa umiliki wa mpira kwa asilimia 60 au 70 inapoteza mwelekeo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.