Unayo 21M cash nikupeleke showroom wanakouza IST Old Model? AMA wivu wa kukoswa iyo 21M ndo imekupekea ulopoke hayo? Sema huna uwezo wa kumiliki hata vespa
Bado tu anaendelea kupokea $90,000 za mababeru za kumchafua JPM? Au Bipolar yake imerekebishwa huko UK? Mana ukimtizama ni kama zrzeka! Hata JKNyerere baada ya kufa kwake hao Waingereza walimzodoa kuwa kaacha Taifa masikini ila leo ndio nembo na Baba wa Taifa letu. Zitaandikwa hekaya nyingi ila...
Hawawezi wakakwambia mana imekuwa aibu kwao na kuusema ukweli sasa kwao ni kama kujipiga na ncha ya upanga shingoni. Acha mwamba alale hajaacha Deni kwa Watanganyika
Mzee Vipi? Indonesia [emoji1129] nayo ipo katika Zile Tiger countries kweli? Au ni nchi inayoongoza kwa idadi kubwa ya Waumini wa Iman ya Kiislam basi. Tiger countries ni Taiwan, South Korea, Hong Kong and Singapore hizo zingine bado bhana, acha kujichetua
Mzazi wa Paul Makonda (DB) ni nani na amewahi hudumu katika nafasi ipi ya uongozi wa hii nchi na ndani ya CCM mpk useme kupata madaraka lazima mzazi wako awe ameshika hatamu ya uongozi wa juu? Orodha ni ndefu, ungana nao ule matawi ya juu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.