:target::target::target:Mbeya University of Science and Technology (MUST) provides Technical Education, Research and Consultancy services. Due to rapid technological changes in the world today in many fields, there are ever widening technical skill gaps in the labour market of scientists...
Ni kwamba hiyo inawezekana kwa sababu:hebu chukua hiyo mo.tymz 2 then jibu lake ni 20202,xo do y'all guyz rimemba kuhusu signficant figaz na jibu ni lazima liwe na tarakim 6,take 0 zen add mwishon mwa 2,itaxomeka hiv 202020 provided that X isiwe zero,yaaan 0<X<10 KWA LUGHA NYINGINE "1 less zan...
Kwa wale ambao wamechaguliwa faculty ambazo hawakuomba nawashauri waende kwan kwa mujibu wa majibu niliyopata kutoka kwa mtu fulani huko tcu anasema kuwa,"kwa wale ambao watataka kuomba 2nd round appl.itakuwa ni bahati sana kupewa vyuo,hivyo ni bora waende halafu kwenye suala la mkopo...
Kuanzia leo asubuhi ilikuwa m2 uki-login unakuta umeandikiwa chuo ulichochaguliwa ,lakin cha kushangaza kuanzia saa 10:00am leo wameondoa tena,Kwa kweli mm cwaelew
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.