Wana jamvi napenda kuwasilisha mada tajwa hapo juu kutokana na ukweli kuwa tcu wajibu wake sasa over ni baada ya kurelease selection.Sasa nawapongeza waliopata nafasi ambazo kwa kuzitumia vizuri wawapo vyuoni watasaidia sana katika ukombozi wa nchi ye2.Sasa kuna tetes kuwa wenda mwaka huu wa masomo NO LOANS zaweza pungua kwa kiasi chake kutokana na kuongezwa kwa bajeti ya elimu hususani kitengo cha heslb sasa ebu tungojee hayo mabadiliko kama yatakuwa na tija kwa watoto wa wakulima.USHAURI WANGU ENDAPO NO LOANS ZISIPOPUNGUA AU KUISHA KABISA YA2PASA KUANZISHA EDUCATION AND LOANS MOVEMENT FOR CHANGE.