Recent content by Bugeraha86

  1. Bugeraha86

    BURE NDANI YA JIMBO LA DODOMA

    Khaaa...kweli wametuchoka!:oops::oops:
  2. Bugeraha86

    Plot4Sale Nauza shamba ekari 20 kwa milioni 4

    ...too good to be true! Hiyo investment uliyotaja hapo imepita 4m sana.
  3. Bugeraha86

    Papii Kocha apata mtoto

    ..angalau naye ajue 'uchungu wa mwana'! Ataelewa jinsi wazazi wa watoto alionajisi walijiskiaje. Labda atakuja omba msamaha kwa public!
  4. Bugeraha86

    Samatta anakubalika kwenye timu yake

    ...balozi wa kweli wa nchi yetu, on and off the pitch! Proud:cool::cool:
  5. Bugeraha86

    Mwaka jana bei ya korosho kwa kilo ilikuwa sh 4,000 mwaka huu ni sh 2,700

    ...na mkiandamana ma'shangazi' wanapigwa!!
  6. Bugeraha86

    TANZIA Gwiji wa Muziki wa Reggae nchini, Jah Kimbute amefariki dunia

    Rest in eternal peace Kimbuteh...nakumbuka enzi za YMCA!
  7. Bugeraha86

    Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

    Ana miaka 23...na amekuwa kwenye mahusiano na Mondi kwa mika 10! 23 - 10 = 13 :oops::oops:
Back
Top Bottom