Chama cha mapinduzi na watu wake kilivaa rangi nyekundu, na walipenda kuonyesha dole gumba, nilikaa nikajiuliza hivi hawa ni CHADEMA wanaotaka kuwa Wanaccm au,,,,,
Nilishangaa sana kuona hata yanga nao wanavaa jezi ya simba, yaan nyekundu,,,, na walipendeza hata kumzidi Simba,,,
Wakanishitua...