Recent content by Bugals Edward

  1. Bugals Edward

    Matajiri kumi wa dunia 2018 February na Forbes.com

    Saudi Arabia kwa kipindi hiki hawapo ila wameongezeka kutoka Zimbabwe, na Hungary
  2. Bugals Edward

    Matajiri kumi wa dunia 2018 February na Forbes.com

    Alikuwa wa 544, ila ameshuka hadi 766
  3. Bugals Edward

    Matajiri kumi wa dunia 2018 February na Forbes.com

    Bado hajafikia kabisa,,, Rostam Adhizi,, Reginald Mengi, Azam Bakhresa Mohammed Dewji, labda,
  4. Bugals Edward

    Matajiri kumi wa dunia 2018 February na Forbes.com

    Bill Gates ashishushwa nafasi ya pili, Gates alianza kiingia katika utajili wa dunia mwaka 1988, aliwa na utajiri wa kiasi cha billion 1.4, ameshika kilele kuwa tajiri mkubwa duniani tangu 2001,,,,, kutokana na Forbes.com,,,, Hii ndio list ya matajiri kumi wa dunia na utajiri wao...
  5. Bugals Edward

    Tanzania inashika nafasi ya ngapi kwa demokrasia Afrika na ulimwenguni?

    Tanzania sasa tukiongea demokrasia kwa viongozi wetu ni tatizo kubwa inasekana,,,,, haswa ila sina uhakika kama kweli demokrasia haipo kama wengine wanavyosema, kwa kipindi kigumu cha vyuma kukaza eti nianze kuongelea kutoa maoni hadharani,,,,, hapa kazi tu, ila kumbuka kuna mda inabidi...
  6. Bugals Edward

    Africa bara bora, demokrasia itakuwa lini?

    Uzuri wako Africa, ni pamoja na upendo ulionao ndani, misitu mikubwa ya asili imo ndani yako, asili yako ee Africa ni utajiri unaoparikana ndani yako Unauwezo wa kulisha dunia yote ila mbona wanakulisha? Umejaliwa vyote ila demokrasia kiulizo,?? Swali watu wako wanauliza lini tutakuita kilele...
  7. Bugals Edward

    Tutakavyo sahau tukio la Acqulina

    Kumbuka yule jamaa aliekuwa kiongozi wa CHADEMA aliekutwa amenyongwa na kuuwawa kikatili, eti tumesha msahau,,,, kisa tukio la juzi kwenye uchaguzi wa kinondoni,,,, Drop reply matukio gani yalitusahaulisha matukio haya a,)kutekwa kwa roma, b) kupigwa risasi kwa Tundu lissu c)kukutwa kwa mizoga...
  8. Bugals Edward

    Wasafi tv na radio inakaribia kuwashwa...Tuanze kupendekeza watangazaji

    Kuna watu wanapendekeza eti " tutajie na fm gn sasa
  9. Bugals Edward

    Kitu cha kuogopwa na watanzania wote

    Nimeona, wafute mapema basi,
  10. Bugals Edward

    Kitu cha kuogopwa na watanzania wote

    Hayo ya kwao nchi za ndani,
  11. Bugals Edward

    Tetesi: Tuondoke hatarivya siasa

    Marekani ufurahi umekuza, na wanataka kujitegemea,,,, Kaa subiri Shukrani, usiwaze vikwazo Eti kuzuia mitumba ni kuzuia biashara huria? Wamemsaidia vya kutosha kumlisha, sasa eti wanataka wajilishe, baba anagoma "kujilisha ni wizi mkubwa" kumbe baba kaona atazuiliwa kula wala kuchukua chakula...
  12. Bugals Edward

    Kitu cha kuogopwa na watanzania wote

    Rushwa, matusi mtandaoni, Nimefuta mimi wenyewe,
  13. Bugals Edward

    VALENTINE CCM wavaa msimbazi

    Chama cha mapinduzi na watu wake kilivaa rangi nyekundu, na walipenda kuonyesha dole gumba, nilikaa nikajiuliza hivi hawa ni CHADEMA wanaotaka kuwa Wanaccm au,,,,, Nilishangaa sana kuona hata yanga nao wanavaa jezi ya simba, yaan nyekundu,,,, na walipendeza hata kumzidi Simba,,, Wakanishitua...
Back
Top Bottom