Acha ujuha, nyie wenyewe ndio mlikua na Kelele kuwa talanta itakua na Folding seats tu, mkapa itabaki na hivyo. Senge.
I am waiting Goal line technology pia 😂😂😂
Eeh hapo verification ndio penyewe now, Mfano NGO members 4 tayari NIDA zao zipo verified ila mimi tu ndio naandikiwa
"Something is wrong" mfumo wa NIS Jamii.
Na mfumo wa NIDA wa NIN nao naandikiwa taarifa sio sahihi fika wilayani na nishafika na kuhakiki.
So kaka shida yangu ni NIN kua blacklisted kwenye database ya NIDA ambayo BRELA na wengine wanavuta verification info?
Ila waliniambia NIDA yangu status haina shida na niliwauliza imefungiwa wakakataa. Wanasema iko sawa. Kibaya zaidi wanabehave if wenye shida ni BRELA seriously
Hello Wakuu.
Nimekua najaribu kusajili NGO yangu kupitia mfumo wa NIS jamii.
Lakini kila nikifika kuverify NIDA yangu naandikiwa "something is wrong, please try again"
Nimeenda office ya NIDA wilayani nimehakiki kila taarifa na kuangalia status za NIDA inaonesha haina shida wala kukosewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.