Habari mkuu nimenunu bidhaa eBay lakini muuzaji haja weka track no na inaonyesha amesha fanya shipping ya hiyo items je mizigo isiyo na track no hufika ama la msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nikifutilia kwa muda sasa matamushi ya spika wa bunge late, mengi yake nashindwa kupata majibu naomba kwa wanao juu mnisaidie juu ya haya
1-bunge lisipo tekeleza wajibu wake wa kisheria lisisemwe na mtanzania yoyote
2-ili mtu uitwe kwenye kamati kinga na madaraka ya bunge ni maamuzi...
Nilinunua bidhaa eBay muuzaji kashindwa kutuma hiyo items na ame refund hiyo kwa PayPal ambao wanapaswa wailejeshe kwangu kama haiwezi hapo inakuwa je
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndipo ninappta shida sana upinzani wa tz wanatuambia wameungana lakini haonyeshi ushilikiano ulio madhubuti katika baadhi ya mambo hii ni dalili tosha kuwa wako pamoja ila hawana umoja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.