Recent content by Budako

  1. B

    selection udsm

    Wanatuma ujumbe kama huo. Ni shida tupu.
  2. B

    Majina ya waliokosea kujaza taarifa zao katika form za mikopo

    Mkuu nilifika ofisini kwao nikaeleza tatzo wakareset account yangu.
  3. B

    Majina ya waliokosea kujaza taarifa zao katika form za mikopo

    Wakuu samahanini, wakati nafanya marekebisho ya kuattach zile missing documents, bahati mbaya nikasubmit kumbe zilikua hazijaapload bado, na baada ya hapo ile option ya 3 ya missing documents ikawa imepotea ihali sijafanya marekebisho yoyote, sasa sijui wakuu nafanyaje maana hata simu hawapokei...
  4. B

    Tatizo la network windows 10

    wakuu habari yenu, ninatumia pc aina ya dell. nikisearch devices kwa wireless (wifi) device znaonekana ila niki connect wanaandika NetworkUx.ViewModel.SettingEntry. na hata setting hazifunguki. Naombeni msaada juu ya hili,natumia windows 10.natungaliza shukrani zangu za dhati
  5. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    shukrani mtu wangu
  6. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    mkuu nashukuru sana hakika msaada wako nimefanikiwa,shukrani sana
  7. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    nilipiga chini windows 7
  8. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    ngoja nijaribu
  9. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    maelekezo yote nimefata na imemiss
  10. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    ina rangi ya blue,na nikickick fn+f2 light inawaka ila kwenye tool bar inatokea icon ya bluetooth
  11. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    hv windows inaweza kuwa tatizo? sababu kwenye button f2 kuna icon ya wireless but hata ukiclick bado light haiwaki,ukiwa karibu na wireless inaandika your are not connected to any network
  12. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    hamna kabisa,hapo ndo nilipochoka
  13. B

    Msaada Jinsi ya kupata antivirus

    mwalimu naomba na mimi uni pm hiyo link,natunguliza shukrani
  14. B

    Msaada juu ya laptop yangu

    yap,najua sana ndugu
Back
Top Bottom