Wakuu samahanini, wakati nafanya marekebisho ya kuattach zile missing documents, bahati mbaya nikasubmit kumbe zilikua hazijaapload bado, na baada ya hapo ile option ya 3 ya missing documents ikawa imepotea ihali sijafanya marekebisho yoyote, sasa sijui wakuu nafanyaje maana hata simu hawapokei...
wakuu habari yenu, ninatumia pc aina ya dell. nikisearch devices kwa wireless (wifi) device znaonekana ila niki connect wanaandika NetworkUx.ViewModel.SettingEntry. na hata setting hazifunguki. Naombeni msaada juu ya hili,natumia windows 10.natungaliza shukrani zangu za dhati
hv windows inaweza kuwa tatizo? sababu kwenye button f2 kuna icon ya wireless but hata ukiclick bado light haiwaki,ukiwa karibu na wireless inaandika your are not connected to any network
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.