Recent content by BUBU MUONGEAJI

  1. B

    Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya Bandari tena. Makontena zaidi ya 2,400 yamepita bila kodi

    sasa ulitaka afanye kazi ambayo sio yake ili kumsifu! mimi nadhani mtu husifiwa kwa kazi zake kuzifanya vizuri
  2. B

    Msanii Chidi Benz akamatwa na polisi Airport

    Hata kama ni kudharau mamlaka hii sasa imezidi. Unaenda Mbeya unataka usafirishe kete na ndege. Angepanda bus hakuna ambaye angemkamata. Hii isije ikawa operation tokomeza umri wa Sitti
  3. B

    Meneja wa Diamond (Babu Tale) awekwa kikaangoni na Vyombo vya Dola

    Naona watu ushabiki.hauwezi kuisha. Hakuna zababu za kuhalalisha Diamond kuvaa sare za jeshi. Na pia jeshi halihusiki na mikopo ya wanafunzi
  4. B

    Msajili wa vyama vya Siasa Jaji F. Mutungi amzuia Mbowe kugombea uenyekiti tena

    Tujaribu kujadili na kufikiria mambo objectively sio kuleta ushabiki usio na maana hapa! Tunapoongelea kukiukwa kwa katiba ya CDM hakuna haja ya kuihusisha CCM katika hilo! Je Mbowe anaweza kuwa kiongozi imara kama viongozi wenzie wote wa CDM wapo compromised? Je mnaosema kuwa CCM wanataka...
  5. B

    Taarifa Ya Mwenyekiti Mtendaji Wa IPP Limited, DKT REGINALD MENGI, Kwa Umma

    Mimi binafsi sijaona ameongea nini Mengi. He ni kujitetea au nae anarudisha kwa Wazir
  6. B

    CAG abaini madudu vyama vya siasa

    Kama vyama havijapeleka balance sheets then hatuwezi kusema chama hiki kina hesabu sahihi au la. Set nzima ya financial statements inatakiwa ili kuleta thread nzuri na ku establish reasonable opinion. Watu mnaleta ushabiki wa vyama na pesa inaliwa na wachache. Kama alivyosema Zitto Kabwe: CHAMA...
  7. B

    DRC hails Tanzania on new TPA office in Lubumbashi

    Wajenge bandari ya Kasanga kurahisisha usafirishaji, maana kupita Zambia ni tatizo jingine.
  8. B

    Mkakati mpya wa Bunge/CCM kuhusu katiba mpya huu hapa

    Mawazo ya kibubu tu. Vipi ulikuwepo kwenye kikao cha dhamira hiyo?
  9. B

    Tanzania not happy with UK visa being processed in Nairobi

    We have a lot to be humiliated for
  10. B

    Ndoa ya kwanza kati ya Mbwa na Mwanadamu yafungwa jimboni California nchini Marekani!

    Naona mnabadili muelekeo badala ya kutoa maoni juu ya huyu aliyefunga ndoa na Mbwa na watu waliohusika na ufanikishaji wa ufungwaji ndoa hiyo mnaanza kuelezea ushetani wa dini za kiislam na ukatoliki! Japo katika maisha husemwa maadili mema hujengwa na msingi imara na mafundisho stahiki...
  11. B

    Tundu Lissu unatumika sana, sasa siku zako zinahesabika

    bubu muongeaji baada ya kupiga Dompo ana haya ya kuongea juu ya zzk na cdm! Zzk ni binadamu kama wengine, anatamani kama wanavyotamani watu wengine, ni mtu makini sana! Kitila mkumbo si tu kwamba kazi yake inamlazimu kuwa mkweli bali pia kazi yake inamtaka kuwa muadilifu! CDM siwezi sema...
  12. B

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Maamuzi ya kukurupuka huumiza chama, CCM wanahekelea tu
  13. B

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae

    inbox ur contacs to bubu muongeaji atakutafutia anaekufaa, maana yeye amewezesha watu kama wawili
  14. B

    TAMKO rasmi la Ndugu Zitto Z. Kabwe kuhusiana na kinachoitwa "Taarifa ya Siri ya CHADEMA"

    copied from facebook page TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAMKO rasmi la Ndugu Zitto Z. KABWE (MB) kuhusiana na kinachoitwa "Taarifa ya Siri ya Chadema" Ndugu Wanahabari, NILIPOKUWA katika ziara ya bara la Ulaya kati ya Oktoba 21 mpaka Novemba 2 mwaka huu (2013), nilipokea kwa njia ya...
Back
Top Bottom