Kwa hiyo ulikuwa na underage......
Siku hizi form.four ni miaka 16
Unategemea utimize ahadi na mtoto wa miaka 16.....
Then miaka 3 baadae...akiwa 19 umuoe
Mjomba???!!!!!
Enzi za ujima taa zilikuwa zinazimwa kuokoa matumizi ya umeme
Ebzi hizi kuzima taa eti utamuona mwizi na tochi, huyo anayekuja na tochi ni kibaka tu.
Kwanza umelala utamwonaje?
Mpaka ushtuke uanze kutafakari kuwasha taa tayari kasepa au kaingia sebleni kwako!
Nyumba nyingi swichi ya kuwasha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.