Recent content by BT2

  1. B

    IGP Mstaafu Omary Mahita achechemea hapa msibani kwa Mwinyi

    Kawaida. Umri ukienda mikongojo itatumika tu Hakuna cha ajabu
  2. B

    Umri gani ni wa mwisho kukaa kwa wazazi?

    Hakuna mwisho. Wewe kaa uwezavyo.
  3. B

    Namfukuzaje mjomba

    Fukuza
  4. B

    Hivi unaweza ukaoa mwanamke hajui kupika?

    Ukiwa unatafuta mtu wa kukufulia na kukupikia hutoweza muoa
  5. B

    Wanaume mnaruhusu vipi wake zenu kushiriki marathon?

    Shida iko wapi? Kila mtu si anatumia sehemu zake za siri kwa starehe zake........
  6. B

    Tumeachana asubuhi jioni ananipigia kunitisha wiki ijayo hayupo atasafiri

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
  7. B

    Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

    Kama yeye anafanye huko nje kwanstarehe zake kwa nininwewe usifanye?
  8. B

    Usimwamini Mwanamke asiye mama yako

    Kwa hiyo ulikuwa na underage...... Siku hizi form.four ni miaka 16 Unategemea utimize ahadi na mtoto wa miaka 16..... Then miaka 3 baadae...akiwa 19 umuoe Mjomba???!!!!!
  9. B

    Wanaozima taa za nje Usiku huwa na maana gani?

    Enzi za ujima taa zilikuwa zinazimwa kuokoa matumizi ya umeme Ebzi hizi kuzima taa eti utamuona mwizi na tochi, huyo anayekuja na tochi ni kibaka tu. Kwanza umelala utamwonaje? Mpaka ushtuke uanze kutafakari kuwasha taa tayari kasepa au kaingia sebleni kwako! Nyumba nyingi swichi ya kuwasha...
  10. B

    Amesema anaenda kusalimia ndugu, baada ya kufika hapokei simu

    Bado anasaLimia. Shida iko wapi? Acha atoe salamu
  11. B

    Mbwa koko wameadimika mtaani

    Wameliwa mishakaki ya mia mia
  12. B

    Mswaki na Dawa zinazotolewa mashuleni ni salama?

    Watanzania. Mnawaza kudhuriwa dhuriwa tu.
  13. B

    Ushauri: Ex wangu anaomba turudiane

    Yaani wanawake mmerogwa? Sasa kinachokurudisha hapo ni nini???
  14. B

    Ushawahi kupata mwenza humu JamiiForums?

    Kumbe watu mnadinyanya gumu halafu hamsemi. Wabaya sana nyie.
Back
Top Bottom