Unajua maana ya ukimwi wewe?,alafu kama kweli wewe ni dr huwezi nishauri kitu kama hicho.
Fuatilia post kuanzia mwanzo,nilikuwa tayari kusamehe,mke hakuomba radhi kwenye kikao na tulipo rudi home,akaniambia haachi kamwe,leo red handed nimemfuma guest kitandani,unataka nini tena?