Recent content by brytr Nichol

  1. B

    Ni sahihi Mwanamke kutimiza miaka 31 hajaolewa? Ukimuoa kuna faida hapo?

    Japokuwa kuolewa ni maamuzi lakini kwa miaka 31 huyo ni bibi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. B

    Nina tabia ya kukinai wanawake ninaokuwa nao katika mahusiano

    Ipo siku tu utampata ambaye hutomkinai.nimepitia hii situation kwa muda mrefu sana tangu nipo kidato cha pili mpk nimemaliza chuo kikuu sijawahi kumpata manzi ambaye navutiwa nae baada ya kumgegeda.Hatimaye nimeangukia kwa manzi moja ya kawaida sana ambaye niko nayo kwa mwaka sasa hakika...
  3. B

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ebana eeeeeh na mm leo nimepata cha kusema kwa kuwa nilikua naona wivu sana kwa hawa watu wanaopata matunda kimasihara na kula hayo matunda wakati mm sijawahi. natumia nguvu sana kula tunda.ebana eee ilikua siku ya jumapili mishale ya saa nane mchana hatimaye na mm nikajishindia.Kuna dada mrembo...
  4. B

    Familia(Mke na Mtoto) hawanipendi licha ya mimi kupambana kwa ajili yao

    Pole sana mkuu hawa wanawake kwakweli tuishi nao kwa akili sana ni washenzi mno pumbaff Sent using Jamii Forums mobile app
  5. B

    Kama unampenda mtu kwa dhati usisite kumwambia mapema. Life is too short

    Tutakiane safari njema wote tufike salama maana kulivuka hili gonjwa hatari ni kama tunasafiri.na hivi ninavyowaona watu wa dar wanamiminika mikoani kwao walikozaliwa hakika nakosa nguvu kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    Nahitaji ushauri wenu wakuu nimepata supprementary

    Yaani una supp 1 unaleta kelele [emoji3][emoji3][emoji3][emoji134] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    Hivi mkeo ‘akiliwa’ nje, kinachokuumiza ni nini hasa?

    Mke anauma ww.km demu tu anauma sipati picha maumivu ya mke kwakweli Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    Naomba ushauri nisome Masters ya Kiswahili au ya Kiingereza?

    Hii ya kubakishwa na chuo sijaielewa vizuri unaweza ukaiweka sawa kidogo mkuu.yaani kila anaepata above 3.9 GPA undergraduate anaweza kubakishwa na chuo ?? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    Naomba ushauri nisome Masters ya Kiswahili au ya Kiingereza?

    Ok thanks mkuu nimekupata mawazo mazuri. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Two in one.(ndege wawili kwa wakati mmoja)

    Ooooh mkasa wetu unafanana pia maana nahisi Ni Kama alihitaji niwe na yeye japo na mm pia nilimuweka wazi kuwa kuna mtu Nina mahusiano naye.shida ikatokea ndio hivyo amenibebea mimba.mm kwangu Ni Kama mtihani lakini mwenzangu Ni Kama furaha Sent using Jamii Forums mobile app
  11. B

    Two in one.(ndege wawili kwa wakati mmoja)

    Ni sahihi kabisa mkuu nimeyakoroga sana.ndio maana niliomba ushauri wa mawazo.kwakweli nimekosea Sana Sent using Jamii Forums mobile app
  12. B

    Naomba ushauri nisome Masters ya Kiswahili au ya Kiingereza?

    Ya kweli haya mzee?? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. B

    Naomba ushauri nisome Masters ya Kiswahili au ya Kiingereza?

    Geography sijasoma mzee.mimi nimesoma kiswahili na kingereza Sent using Jamii Forums mobile app
  14. B

    Two in one.(ndege wawili kwa wakati mmoja)

    Ubarikiwe mkuu.lkn hapa kwenye kuwa ostaz daah[emoji3][emoji3][emoji3]. Ahsante mkuu nashukuru Sana kwa mawazo Sent using Jamii Forums mobile app
  15. B

    Naomba ushauri nisome Masters ya Kiswahili au ya Kiingereza?

    Upepo wa Pesa, Nimekupata vizuri Sana mkuu ahsante kwa mawazo mazuri. Mimi Ni in-service tayari. (primary level) malengo yangu makubwa Sana Ni kusoma masters kwa ajili ya kuwa lecturer. Lakini sijajua Ni kiswahili au kingereza inaweza ikawa na fursa kwa kipindi hichi? Kibongobongo hata nje ya...
Back
Top Bottom