Naomba ushauri
Kwa muda mrefu sasa nipo nikitafakari juu ya kuchagua jambo moja kati ya haya mawili
Kati ya kufanya kilimo cha kisasa juu ya MAZAO ya chakula (Mahindi ,ufuta ,mpunga ,na alizeti) kimoja wapo kati ya hayo MAZAO then baada ya mavuno niuze kama biashara na kununua MAZAO kwa...
Naomba kujua makadirio ya gharama ya ujensi wa nyumba ya familia ambayo ina vyumba vya kulala vitatu na kimoja ni master bedroom pia Ina sehemu ya kupikiwa dinning room,rest place pamoja na public toilet
eneo ninalotarajia kujenga ni kibaha eneo tambalale
Nimemaliza masomo yangu nasomea coz ya science and laboratory technology kwa ngazi ya diploma. ...
Pia wazazi wabataka niache niamie nyngine nijaanze nayo upya coz ya clinical officer. .......
Sasa mm nifanyaje niendelee na hii yangu au niwafyate wazaz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.