Recent content by Bruno William

  1. B

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Je anaweza fanya biashara gani na yupo mkoani ?. Na je akija Dar es salaam anaweza fanya biashara gani ??
  2. B

    Je, kuna umuhimu wa mapinduzi ya viwanda nchini Tanzania?

    HISTORIA FUPI YA MAPINDUZI YA VIWANDA Nchi nyingi duniani zilizo endelea zimepitia mapinduzi ya viwanda, na mapinduzi hayo yalihusisha hatua, michakato na pia hatima mbalimbali ambazo zilipelekea nchi nyingi barani ulaya kafanya maaumuzi tofouti tofauti ili kukidhi uhitaji wa viwanda ambavyo...
  3. B

    SoC02 Vijana "Uchawa" ni Uchafu na Umasikini unasahaulisha ajenda zetu

    Ni kweli ebu angali machawa tulio nao hapa nchini amabao wanawapigia kelele wasanii wetu wa mziki, waigizaji je ni vijana??, Vibaraka wa siasa hapa nchini je ni vijana ?? . Nchi ambazo zina pigia debe maslahi ya wazungu je zinaongozwa na vijana??.
  4. B

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Oky, thanks very much Indeed!!
  5. B

    SoC02 Vijana "Uchawa" ni Uchafu na Umasikini unasahaulisha ajenda zetu

    Suala la uchawa sio suala la kiumri bali ni suala la maono ya kifikra, mtazamo wa mtu mmoja kwa mtu mwingine ,watu, mamlaka au ufuasi fulani. Kuna neno vibaraka/papet ambalo lilikuepo tangu enzi za ukoloni na mpaka sasa linaendelea kutumika japo kwa uchache lakini bado lipo nalo ni kama neno...
Back
Top Bottom