Recent content by Bruno Kaduma

  1. Bruno Kaduma

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    mi nmelipia kama mara mbili hv na kila nikilipia naangalia wiki moja tu tayari mnanikatia channel kwa nini? sasa hivi nimeshakata tamaa kabisa ya kulipia
  2. Bruno Kaduma

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    natafuta mwalimu wa kubadilisha nae kutoka njombe, wanging'ombe, mbeya mjini, au tukuyu yeyote kutoka mojawapo ya sehemu hizo yeye aje halmashauri ya wilaya ya mufindi. Idara; ELIMU MSINGI. Mawasiliano, anayehitaji ani "PM" maana nliweka namba za simu matapeli wameanza kunisumbua
  3. Bruno Kaduma

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mimi mwl KADUMA natafuta mwalimu wa kubadilisha nae kutoka njombe, wanging'ombe, mbeya mjini, au tukuyu yeyote kutoka mojawapo ya sehemu hizo yeye aje halmashauri ya wilaya ya mufindi. Idara; ELIMU MSINGI. Mawasiliano:0628166361(halotel) AU 0768229804(voda)
  4. Bruno Kaduma

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    tunaomba NMB muwe mnatuwahishia mikopo yetu hasa sisi wafanyakazi maana tunapata shida sana, mfano mimi nliomba mkopo sasa hv wiki inaisha sipewi
Back
Top Bottom