mi nmelipia kama mara mbili hv na kila nikilipia naangalia wiki moja tu tayari mnanikatia channel kwa nini? sasa hivi nimeshakata tamaa kabisa ya kulipia
natafuta mwalimu wa kubadilisha nae kutoka njombe, wanging'ombe, mbeya mjini, au tukuyu yeyote kutoka mojawapo ya sehemu hizo yeye aje halmashauri ya wilaya ya mufindi. Idara; ELIMU MSINGI. Mawasiliano, anayehitaji ani "PM" maana nliweka namba za simu matapeli wameanza kunisumbua
mimi mwl KADUMA natafuta mwalimu wa kubadilisha nae kutoka njombe, wanging'ombe, mbeya mjini, au tukuyu yeyote kutoka mojawapo ya sehemu hizo yeye aje halmashauri ya wilaya ya mufindi. Idara; ELIMU MSINGI. Mawasiliano:0628166361(halotel) AU 0768229804(voda)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.