ki katiba ni sahihi ila ukijaribu ukafanikiwa kufikisha ujumbe jiandae kwa lolote .. watu hawataki kukumbushwwa wajibu wao.. watu utu umewatoka ni pesa mbele
nilitafuta kiwanja cha mil2-3 kahama.. nikampata dalali akaniunganisha na mwenye kiwanja kumbe nae ni dalali .. yaan ndio bosi wake akanambia akishuki m4 nikalia wee nikijua ni mwenye eneo akagoma ,, nikawatema juzi kati eneo limeuzwa kwa m2 uku naona na muuzaji ndio nikamjua,, siku iyo dalali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.