Mpaka lini serikali ya ccm itatumia nguvu kubwa kukandamiza Demokrasia huku ikijitangaza kuwa Tanzania ni nchi ya Demokrasia na wananchi wake Wana amani tele? wangeondoa tu mfumo wa vyama vingi ieleweke moj[emoji57]
Pole Sana ndg umeeleza vizuri mno, kiukweli nimejikuta natokwa na machozi, kweli duniani HAKUNA Haki maana waliopewa rungu la kusimamia Haki ndio wavunjifu wakubwa wa Haki[emoji24]
Uzuri umekumbuka kuweka namba za simu, ikitokea fursa watakupigia maana so kwa kujipendekeza huko
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Huna akili Wala huna hoja kifupi unabwabwaja! Nikuachie tu swali dogo, je, Ni wawekezaji na watoa misaada wangapi wanaoipa tz pesa ambazo toka Uhuru tunasikiaga DENI LA TAIFA je unajua mikataba iliyopo? Vita dhidi ya ushoga inatakiwa ipigwe kuanzia individual level lakini sauti ya mwisho Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.