Recent content by Brown phirbart

  1. B

    Employment letter kutoka PCCB

    Hii nazungumzia ya sasa
  2. B

    Employment letter kutoka PCCB

    Habari wana jf hivi empoyment letter ya pccb huwa zinatumwa pamoja na intake ya kwanza na pili au inakuaje maana kuna dogo kapita kila hatua za usaili lakini hajapata barua lakini wao wameambiwa kwenye tangazo kulipoti ni mwezi wa saba , sijui imekaaje hii wakuu .!
  3. B

    Usaili TAKUKURU

    Kwani ww ulikuwepo kwenye usahili hadi unasema hivo , utauponza Kama ujui kitu tulia mkuu
  4. B

    Usaili TAKUKURU

    Bado kwa wachunguzi wasaidizi karibu wengi wanasema bado .!
  5. B

    Usaili TAKUKURU

    Naskia huko list ya majina walio itwa imesha toka je kuna ukweli juu ya hili .!
  6. B

    Mwenye kujua maswali ya oral ya PCCB-2022 msaada

    walio enda oral wadondoshe maswali
Back
Top Bottom