Habari wana jf hivi empoyment letter ya pccb huwa zinatumwa pamoja na intake ya kwanza na pili au inakuaje maana kuna dogo kapita kila hatua za usaili lakini hajapata barua lakini wao wameambiwa kwenye tangazo kulipoti ni mwezi wa saba , sijui imekaaje hii wakuu .!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.