Hii picha ni NKWABI akiwa kashika msalaba ktk mazishi ya baba yake mzazi mzee FUMBUKA NG'WANAKILALA. Inamaa na kijana NKWABI kabadili dili kwa ajili ya kumuoa huyo bibi au basi!!
Jamani mmeshaambiwa kazi iendeleeee..
1. Familia ya NNAUYE
2. Familia ya Kijazi
3. Familia ya Michuzi
4. Familia ya Laay
5. Familia ya Gama
6. Familia ya Mavura
7. Familia ya Zelote Stephen
8.
9.
10.
NB: Ikulu ya Magogoni imepunguza umakini kwenye kukagua mikeka kabla kutolewa.
(à) Lutengano...
Mama anakurupuka sana. Na pale Ikulu bado hawajakaa sawa. Yaani mama anateua RAS mtu mwenye darasa la 12 kweli!!? Wanaomchomekea vimemo ndio wanampotosha mama. Inapaswa afanye individual vetting kabla ya kufanya uteuzi..
Kwa yoyote aliyepita jeshini anafahamu kuwa kosa la KUGOMA AU KUANDAMANA jeshini ni KOSA KUBWA. Ni UASI. Na kila siku tunawaambia kwamba mafunzo ya JKT ni ya kujitolea na sio sehemu ya ajira. Na kwa taarifa yenu vijana waliotumikia jkt na kurudi mtaani baada ya kumaliza muda wao ni wengi zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.