Nimeweka dokezo ,Maelezo ni mengi ndio maana nimesema kwa alie na uhitaji anicheck dm nimpe full details. Kuna documents zote ila kila mtu ana bidhaa zake hapo dukani na tunachanga rent na furniture na tax
Habar wakuu,
Tafadhari rejea kichwa hapo juu. Baada ya kukaa benchi mda kidogo bila ajira niliamua kujichanga mm na rafiki yangu kufungua biashara ya laptops za vifaa vya simu, Mungu akasaidia baada ya siku chache tena nimepata kazi sehemu yenye mkataba mzuri hivyo nafaulisha share zangu za...
Wanawake wa namna hiyo huwa wanapokea DMs nyingi sana hivyo ni ngumu sana kukujibu na huna hakufaham personally au uwe maarufu kuzidi yeye. Si ajabu huwa anapokwa DM 100 kila siku
Habari wakuu.
Tafadhari rejea kichwa cha mada.
Ninauza pikipiki yangu niliyokua natumia kwenda kazini yenye usajiri namba DEC bei Tsh 1,250,000 iko katika hali nzuri sana haijaguswa engine kabisa
Pia nina eneo langu la carwash lililo eneo potential ilibaki miezi mitatu ya kodi 2500per day, Kuna...
Natamani sana kupata rafiki anaejua kilimo kiundani na anefanya kilimo biashara ili nijifunze kwa mifano dhahiri baadae na mimi nifanye kilimo kisasa cheje tija
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.