kule ni hollywood wale ni wasanii na hapa hatujadili wasanii tuna jadili anacho kifanya lema:
hakuna jimbo,nchi yeyote duniani ambayo inachagua viongozi wake ili waje kujitafutia umaarufu unless anakua amewafanyia wananchi wake kazi waliyo mtuma kuifanya.lakini ukijaribu kumuangalia lema...
wewe ndo una akili za kitoto na kipumbavu we unafikiri anacho kifanya LEMA kina endana na alichotumwa kufanya na wananchi wake
ona sasa Chuo cha IAA kimefungwa kwa sababu ya itikadi zake za maandamano.
Hao wanafunzi wataenda wapi endapo watafukuzwa chuo?.atawatafutia chuo awalipie ada ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.