Recent content by brosda

  1. B

    CCM imejiweka pabaya sana.kwa wchinjaji tunasema imeelekea kibra

    Hili jamaa Sijui punga nakuchukia sana na unabahati tunabishana kwa kutumia vidole ingekua live ningeisha kutia vitasa maana naona BBuchoko
  2. B

    Bora Umetangulia Nyerere Wangu Ungekua Hai Hata Wewe Makof Ungepigwa

    Ccm joka la kibisa sasa ivi ata aling'ati
  3. B

    Bora Umetangulia Nyerere Wangu Ungekua Hai Hata Wewe Makof Ungepigwa

    Ndo maana hauna akiri lini wamekuruhusu milembe?
  4. B

    Bora Umetangulia Nyerere Wangu Ungekua Hai Hata Wewe Makof Ungepigwa

    Sisiem ni hatari kwa maisha yako
  5. B

    Vyuo vya Kisabato na degree ya sheria

    Unaitaji maombi ili kufikili nje ya box ina maana wanabishana tu au wanaelimisha na umesema hawana idea ya kuanzisha vyuo vikuu inamaana hamna wasabato waliosoma vyuo vikuu mbaka wakose idea ya kuanzisha vyuo au wote wanaelimu ya biblia tu hawana elimu ya darasani?
  6. B

    Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Bomani Tarime, akatwakatwa mapanga

    Mbona hawajafugwa sasa au mahakama ilowakuta hawana kosa ata moja ilikua ya chadema eheee..... Alafu next time uwe unatumia akiri kucomment sio una comment usichokijua Kapeleke ushaidi police au mahakamani wafungwe kama unajua sana Pyuuuu........
  7. B

    Kwa ubunifu huu wa CHADEMA, CCM itasambaratishwa kirahisi sana!

    Kwaiyo kabila lako ndo lina hati miliki kuongoza nchi hii Na wachaga sio watanzania ehee Huna akiri na roho yako ya kutu
  8. B

    Wakijibu maswali haya nitawapigia kura

    Huwezi pata majibu ata siku moja na ukipata ni kwamba kesi ziko mahakamani wanaendelea na uchunguzi hii ndo serekari yetu sikivu KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI?
  9. B

    Wananchi Jimbo La Rorya Washinda Porini Kisa Michango Aliyoagiza Kikwete Ya Maabara

    A prove vip kama vyombo vya habari vimetangaza na ndo ukweli wenyewe sasa kama wewe hauamini endelea kutafuta prove
  10. B

    Madai ya Nyerere Kumkataa Lowassa, ukweli na ushahidi huu hapa

    Tunaomba picha zako na huyo bibi yetu
  11. B

    Miss Tanzania ni Scandal Cover ya Mjadala wa Katiba Mpya

    Wanajua kucheza na akiri za watanzania now day sio kama zamani bado watanzania wanajua cha kufanya kwenye katiba
  12. B

    Kelele za UKAWA na ukimya wa wananchi walio wengi

    Kumbe alichaguliwa afanye kazi binafsi
  13. B

    UKAWA watagawana Majimbo na madaraka kama ifuatavyo

    Em soma vizur Uzi majimbo yote ambayo aidha CDM au CUF wamekua washind wa pili wanaachiwa wao mikoa ming ya kusin CUF wamekua washind wa pili so hayo yote yao
Back
Top Bottom