Unaitaji maombi ili kufikili nje ya box ina maana wanabishana tu au wanaelimisha na umesema hawana idea ya kuanzisha vyuo vikuu inamaana hamna wasabato waliosoma vyuo vikuu mbaka wakose idea ya kuanzisha vyuo au wote wanaelimu ya biblia tu hawana elimu ya darasani?
Mbona hawajafugwa sasa au mahakama ilowakuta hawana kosa ata moja ilikua ya chadema eheee.....
Alafu next time uwe unatumia akiri kucomment sio una comment usichokijua
Kapeleke ushaidi police au mahakamani wafungwe kama unajua sana
Pyuuuu........
Huwezi pata majibu ata siku moja na ukipata ni kwamba kesi ziko mahakamani wanaendelea na uchunguzi hii ndo serekari yetu sikivu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI?
Em soma vizur Uzi majimbo yote ambayo aidha CDM au CUF wamekua washind wa pili wanaachiwa wao mikoa ming ya kusin CUF wamekua washind wa pili so hayo yote yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.