Yani hicho kitendo kimeniuma sana.hivi kipindi anafanyiwa huo unyama yani huo ukatili kulikuwa hamna watu yan wanaume hapo nahsi ilikuwa hamna wanaume wote ni wanawake?
Na ninyi wanawake pamoja na wanaume mlio kuwa pale mnamshinwda mtu mmoja au ana kikundi chake hapo anawagawia baada ya kupora...
Huko kunako kwendwa kwa nchi yetu yani kuna haja kusoma na kuifahamu sheria sana yan sana.Ili kujipatia pesa kwa mambo kama haya.Akija kichwa na nguvu zake na huna kosa basi unapiga bingo yap!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.