Recent content by briophyta plantae

  1. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania Changamoto noah za Arusha -Namanga

    Noah za Arusha to N amanga zimekuwa na changamoto mbalimbali na hazifuatiliwi na vyombo husika. mojawapo ya changamoto hizo ni:- -watu kubanana sana -kubadilisha nauli wanavyojisikia(mbali kabisa na nauli iliyopangwa ya tsh 7,000 kwa noah na 5000 kwa hiace) -kauli mbovu na ubabe kwa wateja...
  2. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania simulizi fupi:-Safari ya Daniel

    SIMULIZI FUPI: NDOTO YA DANIEL MWANDISHI: MOSSES MLAY Siku moja Daniel alipata safari ya kikazi ikiwa ni siku mbili tu kabla ya shughuli maalum ya washenga kuja nyumbani kwaajili ya kumposa dada yake, alikuwa na taarifa ya ugeni huo na ilikuwa na umuhimu mkubwa wa yeye kuwepo. Katika shghuli...
  3. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania Ni kazi gani uliwahi kuifanya ukaapa hutakaa uifanye tena?

    kuwa loan officer kwenye hizi microfinance.asee si mchezo
  4. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ni aibu kwa jiji

    na ni aibu kweli,na zipo jirani pia
  5. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ni aibu kwa jiji

    hivi hili suala la baadhi ya mali za umma kugeuka mali za chama limekaaje?
  6. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ni aibu kwa jiji

    Uwanja wa michezo wa kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid ni uwanja wa michezo uliopo katika jiji la Arusha Uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo wa mpira wa miguu (soka)na shughuli nyingine mbalimbali za kitaifa. mchezo wa kwanza wa Futboli ya Kimarekani nchini Tanzania ulionyeshwa katika...
  7. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Manyara: RC Sendiga apeleka nyama ya nyumbu kwa jamii ya Wahadzabe ili kushawishi kujiandikisha katika daftari la makazi

    Hii habari kwa upande wng sijaielewa,si mara ya kwanza kusikia habari kama hii kwa ndugu zetu wahadzabe ila huwa najiuliza ulazima na umuhimu wa kufanya hivyo upo wapi na ulizingqtia hii ni jamii ya wawindaji.naomba anayeelewa hii issue vzr atueleweshe tafadhali.
  8. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania Jinsi tunavyotengeneza kizazi dhaifu kijacho pasipo kujua

    Habari wana jamii.. Kwa ufupi tu ningependa tuongelee hii changamoto ambayo wengi pia waaifahamu na wanajua inaathiri vp jamii. Tangu hapo mwanzo jamii imekuwa ikibadilika kizazi hata kizazi katika namna tofauti kulingana na nyakati nanamna ya kuishi katika nyakati husika. Kubadilika kwa vizazi...
  9. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania Kuuliza si ujinga, nini hasa maana ya neno SIASA?

    Sasa watu wanafanya siasa kwa namna sahihi kulingana na maana yake,ni watu wachache kiasi gani wenye uelewa wa hili jambo siasa,kuna njia nyingine ya kufanya maamuzi kwenye taifa ukitoa siasa?
  10. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania Kuuliza si ujinga, nini hasa maana ya neno SIASA?

    Inakuwaje sasa tunawapa dhamana watu tunaojua ni waongo na hawatatufikisha popote
  11. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania Kuuliza si ujinga, nini hasa maana ya neno SIASA?

    Kwenye kukua kwangu, hili neno Siasa ni neno la kawaida maana nalisikia mara kwa mara. Mfano: Chama cha siasa. Mwana siasa... Ila ukweli sijui maana yake. Maana hata wakati mwingine ni neno la heshima, na wakati mwingine ni neno la kuvunja heshima. Ukiongea uongo, unaitwa mwanasiasa. Ukitoa...
  12. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania Angalizo: Watu wa Mbeya mnaoishi Mbeya Mjitathimini mienendo yenu kinidhamu inalichafua Jiji, ipo siku jiji litafutwa

    Usiandike post kwa hasira,hapo watu wanaona hasira yako badala ya kuona unachotaka kuwafundisha. Hiyo mbeya iwe halmashauri ya mji mdogo kwa kipi? We unawajua watu wa mbeya kwa kiasi gani? Idadi ya watu waliofika kwenye tamasha haifikii hata idadi ya watu wanaokaa mbalizi,mbeya ina wilaya ngapi...
  13. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania RICARDO LAIZER.from Arusha Tanzania at UCI world championship at ZURICH

    Ricardo au walilozoea nyumbani ni richard laizer,amezaliwa mkoa wa kilimanjaro
  14. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania RICARDO LAIZER.from Arusha Tanzania at UCI world championship at ZURICH

    Hakika,siasa inatumika kila pahala sasa hivi
  15. briophyta plantae

    JamiiForums Tanzania RICARDO LAIZER.from Arusha Tanzania at UCI world championship at ZURICH

    Kuna baadhi ya michezo tumeiweka kando sana ila inaweza kutupeleka mbali pia,uwekezaji katika michezo umeegemea upande mmoja sana na nchi hii inavipaji vya watu wengi sana
Back
Top Bottom