Recent content by Brighton90

  1. Brighton90

    Wakenya na Kingereza

    Basi usiweke mada zisizoeleweka
  2. Brighton90

    Maisha baada ya kifo

    Mmmh Maisha baada ya kifo..? Kwani mtu akifa kuna Maisha mengine yanaendelea? Labda mimi mshamba ebu nisubiri comments za wadau wengine labda watajitokeza na wadau waliowai kufa wakafufuka watuambie ni maisha gani Yapo baada ya kufa
  3. Brighton90

    Wakenya na Kingereza

    Au kama wewe unakijua ungeandika hii thread kwa lugha ya kingereza kuliko kusifia na kumtukuza mkenya anaeongea kingeleza... (poor thinking capacity)
  4. Brighton90

    Wakenya na Kingereza

    Hata sijakuelewa kwani kuwa na ela mfukoni au kuvaa vizuri ndio kujua lugha ya kingereza..?
  5. Brighton90

    NYOKA HATARI ZAIDI

    Nyoka hatari zaidi ni KOBOKO au Black Mamba. hupatikana katika sehemu za Mashariki na Kusini mwa Afrika huishi katika Makazi yoyote ambayo hutoa joto na unyevunyevu. Nyoka huyu akitaka kufanya shambulio hutanua kinywa chake na shingo yake na hutoa sauti kama ile ya tairi likiwa linatoa upepo...
  6. Brighton90

    Kisa cha ndege kulazimika kutua kwa dharula kutokana na abiria kutoa harufu mbaya

    Hehehe naombeni kujua KUJAMBA kwa kingereza kunaitwaje..?
Back
Top Bottom