Pole sana mwaya..... I thought it's a joke lakini kidogo naanza kuamini. Kama kweli unachosema ni kweli Mungu akusaidie umsamehe bure na umuombee huku ukimpa muda labda atajirekebisha na ikiwezekana tafuta muda mtoe out then mzungumze juu ya mahusiano yenu kama wanandoa yawezekana kuna jambo...
Pole sana Wa kusoma.
Je kilitokea baada ya kujing'ata au kilikuja tuu??
Kama ni baada ya kujing'ata huwa vinapona vyenyewe, vinginevyo muone daktari
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mmmh!! Hii kali ya mwaka 3weeks halafu ukajitambukishe!!
Huo ni muda mfupi sana kufahamiana kaanaye chini mwelimishe kwa upendo atakuelewa
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Pole sana kwa msiba huu mzito, Mungu akutie nguvu wewe, familia yako na kila aliyeguswa na msiba huu katika kipindi hiki kigumu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.