Just sent an email to their address from ajira.go.tz... elezea subject ya email yako na elezea kwa ndani ni cheti gani wakuondoelee.
Unaweza ukatazama picha yangu kuona nilivyo tuma ombi.
Sioni haja ya kuendelea kuuliza lini wameanza ikiwa sisi hatujui na shida ipo kwetu hatuna desturi ya kusoma mabadiriko kwa maagizo ya muombaji kazi. Hii issue ipo kitambo tu sema hakuwa waniitilia mkazo. Ni zaidi ya miaka miwili ilio pita hili agizo lipo kwenye dashboard na linawekwa kwenye...
Hapana kwasababu hata mimi nilishawahi kufanya interview bila kucertify mara tatu.
Ila kwasasa ni sheria inatumika kuchuja watu, so its up to you to follow the instructions or getting failed.
Naomba tuwe wafatiliaje wa maagizo ya muhimu kuyafanya wakati wa kuomba ajira.
Sekreti ya ajira inatoa muongozo kila tangazo la ajira linapo tangazwa kupitia website yao ya (www.ajira.go.tz).
Hakikisha unadownload TANGAZO LA AJIRA lenye format ya pdf, kisha unasoma ukurasa wa mwishoni mwishoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.