Recent content by BRAZAMEN

  1. B

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Wew unaye yajua majukum ya mbunge mropokaji kama huyo utamchagua atatue shida zake ili ww na mie wa shule za kata atuone vilaza.bt kubali kataaa, hakupaswa kuropoka hilo, tena kwa shule kama hizo ambazo zaid ya 50% hadi kufikia 2015 ndio watakuwa wapiga kura wake.ni ujinga.
  2. B

    Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

    Wewe, lissu na wenzako wote mashabiki tuu, je ni kweli shule za kata ni za kipumbavu kama unavyosema?, au ni bendera fuata upepo msijue mnachoshabikia.huko singida kwa lissu amefanya nn katika elimu?, muache kuwa washabiki wa watu kama hawa wasiojielewa, mie mtoto wa maskin, nimesoma shule ya...
  3. B

    Tanzania haipo kati ya Majeshi 20 yenye nguvu kubwa za kijeshi Afrika

    Hamna ukweli wowote katika hizo taarifa,
  4. B

    Kwa wenye mahitaji ya msaada wa jinsi ya kusajili Kampuni, kuandaa Katiba ya kikundi, Business Plan

    Hahaaaa , hongera ndugu james joseph .ngja weny makampun waje ili nas tupate ajira;)
  5. B

    Ukistaajabu ya Escrow utaona ya Mwakyembe

    Acha chuki na wivu wa kike mkuu:confused:
  6. B

    Inakuwaje wanafunzi warudishwe nyumbani kwa kutokuwa na saa za mkononi ?

    Try to be specific, I know that school, iko ilemela na sio vijijini, abt saa na mengine ni muhim mzaz kwenda shule kujua.tatizo letu wazaz wa kizaz hik tunapeleka watot wetu shule then tunakaa kusubir matokeo mazur, without knowing how this can happen
  7. B

    Rais Kikwete aenda Uholanzi kupokea tuzo bora ya Rais mwenye ushawishi Duniani

    Kikwete yuko mozambique muda huu akishuhudia kuapishwa kwa rais mpya,
  8. B

    FastJet Wamekataa Kutubadilishia Ticket

    Pole sana kaka, in short fast jet wamekaa ki local na ni wez sana, I have experience ya kunusuru wiz wa samaki frm mwanza to dsm.very sorry bro ,
  9. B

    Epison printer for sale

    Sasa hiyo projecta ndo bei hiyoo?
  10. B

    Epison printer for sale

    Mwambie bwana, tusijesema sie tukaonekana hatuna pesaa
  11. B

    Nyumba za kupanga Mwenge maeneo ya TRA zipo karibuni

    Haaahaaaa, kaz kwenu ,
Back
Top Bottom