Wew unaye yajua majukum ya mbunge mropokaji kama huyo utamchagua atatue shida zake ili ww na mie wa shule za kata atuone vilaza.bt kubali kataaa, hakupaswa kuropoka hilo, tena kwa shule kama hizo ambazo zaid ya 50% hadi kufikia 2015 ndio watakuwa wapiga kura wake.ni ujinga.
Wewe, lissu na wenzako wote mashabiki tuu, je ni kweli shule za kata ni za kipumbavu kama unavyosema?, au ni bendera fuata upepo msijue mnachoshabikia.huko singida kwa lissu amefanya nn katika elimu?, muache kuwa washabiki wa watu kama hawa wasiojielewa, mie mtoto wa maskin, nimesoma shule ya...
Try to be specific, I know that school, iko ilemela na sio vijijini, abt saa na mengine ni muhim mzaz kwenda shule kujua.tatizo letu wazaz wa kizaz hik tunapeleka watot wetu shule then tunakaa kusubir matokeo mazur, without knowing how this can happen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.