Recent content by BRAZA BRAZA

  1. B

    EU yataka Ingabire aachiliwe, Rwanda yapinga yasema msituingilie

    Ingabire ana kitu ambacho wanaita Hutu ideology, bado anahitaji Genocide iendelee. kwa Rwanda hii haiwezi kutokea tena kamwe. kumbe Serekari iendelee kumshikiria huyu mpumbavu mpaka kieleweke
  2. B

    Uteuzi wa Balozi Mdogo Goma Wazua Tofauti Kati ya Kenya na DRC

    weka Balozi pale Goma, achana na upumbavu wa Tchisekedi, Deplomacy ya kenya na AFC/M23 ndo iko sahihi, biashara iendelee zahabu kwa wingi aiseee hadi raha
  3. B

    Mpango wa Rwanda kupokea wahamiaji kutoka Marekani (kwa Trump) si tishio kwa usalama wa Afrika Mashariki?

    Aise Sijawahi ona mpumbavu kama wewe, Rais muelevu kiasi hiki anajua kuitafutia nchi yake business sehumu mbalimbali, ila wewe sababu ya wivu basi ni kumtukana. wewe unapaswa uishi bondeni, uishi na mifugo pekee, kwa sababu upumbuvu na ujinga wako wa hari ya juu
  4. B

    Watutsi ni watu wenye tamaa ya ukuu sawa tamaa ya fisi kula

    Mbona mnaleta ukabila, kama wanataka uongozi muwanyime, kama mungu amewaumba hivyo basi kazi ya mungu haina makosa. watutsi juu, juu juu zaidi
  5. B

    Rwanda na Atletico Madrid

    Acheni wivu, Kusema ukweli Rwanda inapata pesa nyingi na kuifanya nchi ijulikane kwa upana. acheni ujinga wa kufikiria karibu. think big
  6. B

    Marekani yakubali ofa ya Rais Felix Tshisekedi ya kuchukua madini kutoka Congo ili kupambanana waasi wa M23

    we fikiria tangia vita ianze FRDC hakuna hata mji angalau hata mdogo ambao waliuzubiti ili m23 ishindwe kuwanyanganya. walisaidiwa na majeshi mbalimbali lakini wakawa defeated
  7. B

    Uliza chochote kuhusu Rwanda

    lakini ni vizuri kama uanze chekechekea, kwasababu uelewa wako uko chini sana. little knowledge is very dangerous
  8. B

    Uliza chochote kuhusu Rwanda

    ndoto za kijinga hizo
  9. B

    Kukutana kwa Kagame, Tshisekedi kutamaliza mgogoro DRC?

    Pumpavu we, inamunufaisha kagame kuriko UN, RAMAPHOSA, CANADA ETC. kwa nini mnakuwa na chuki ya kipumbavu vile
  10. B

    Hatimaye Tshisekedi na Kagame wakutana Qatar kujadili mzozo wa M23, wakubaliana kumaliza Vita DRC

    Hata TSISEKEDI ana hela nyingi lakini ameshindwa ku control nchi yake, yeye kila siku ni kusema Rwanda inaiba madini yake, kwanini yeye asiibe madini ya Rwanda. kwani mungu aliumba madini alipofika mpakani Rwanda akasimamisha. aondoe ujinga wake
  11. B

    Uliza chochote kuhusu Rwanda

    Huyo mtu anayesema Rais wa Rwanda ana roho mbaya ni chizi. Rais wa Rwanda anapendwa na wananchi wake mia kwa mia. yeye ameiendeleza nchi sawaswa katika sekta zote. kama una wivu basi jifungie ndani ya chumba ujinyonge
  12. B

    Rais wa DRC tayari kwa mazungumzo na M23

    M23 OYEEEEEEEEEEEEEE
  13. B

    Alpha mine yafunga milango

    Lazima Canada waingie MIKATABA mbalimbali ya Migodi na M23 SABABU SASA IVI NDO WENYE NCHI
  14. B

    SAMIDRC Mission terminated

    Kwa heri SADC mmepambana na jeshi kali likawapa somo ambalo haitakuwa rahisi kusahaurika vichwani mwenu. kichapo cha uhakika
Back
Top Bottom