Hapo umefikiria mwenyewe😂😂
ila think tank za CCM ni janga la taifa.
Michezo inafanyika miaka yote hiyo na serikali Haina majibu, wanaishia kujilalamisha kwenye majukwaa! si ni kujidhalilisha huku?
Ukiambiwa watu wazima wapewe heshima, nd'o kama hawa akina Warioba! ila linapokuja suala la wazee walio wengi sample za wazee wa Time, tunapata kigugumizi kuwaambia watoto wetu waheshinu wazee!
Wakuu, Mimi pia Nina hela yangu kidogo NSSF baada ya kufanya kazi kwenye mradi Fulani wa HIV/AIDS kwa miaka minne, Kisha nikapata kazi serikalini, hivyo kwa sasa mafao yangu yanaingia PSSF.
Lakini niliwahi kujaribu kufuatilia nikaambiwa nisubiri nitakapostaafu.
Kwa mwenye uelewa kwa sasa naweza...
Pole sana, ni kweli huduma zimezorota kidogo kipindi hiki ambapo miradi mingi Haina Fedha, na hata yenye Fedha mikataba Yao ni hadi mwezi March, baada ya hapo hatujui Hali itakuwaje! CTC maeneo mengi wahudumu wake wanalipwa na hii miradi, wafanyakazi wa serikali kwa uchache wao na ukizingatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.