Recent content by braza bonge

  1. braza bonge

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

    Haya! watu wamefukua makaburi huku🥺. Pep kafanya yake Epl na anasepa!
  2. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Hapo umefikiria mwenyewe😂😂 ila think tank za CCM ni janga la taifa. Michezo inafanyika miaka yote hiyo na serikali Haina majibu, wanaishia kujilalamisha kwenye majukwaa! si ni kujidhalilisha huku?
  3. braza bonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Takataka hii kuzaa kwa nani?😂😂
  4. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Je, IQ ya Mtu inaweza kuongezwa au unazaliwa nayo tu?

    Tuwachangie viongozi wa chama chakavu wakapate material!
  5. braza bonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Hii tume itafanya kazi kwa muda gani?
  6. braza bonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Kwa matokeo yale Tume ya Uchaguzi ndiyo ilipiga kura sio Wananchi

    Ukiambiwa watu wazima wapewe heshima, nd'o kama hawa akina Warioba! ila linapokuja suala la wazee walio wengi sample za wazee wa Time, tunapata kigugumizi kuwaambia watoto wetu waheshinu wazee!
  7. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Mpaka leo Polisi Dodoma hawajatoa Ripoti ya kifo cha MC Pilipili

    It seems polisi wetu ni wahusika wakuu wa ujambazi nchini, serikali ipo kimya kwa sababu inawatumia kwenye ujambazi wao.
  8. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Jinsi Barabara za jimbo la Isimani zilivyo mbovu, sidhani Samia kama ataenda kumzika Wiliam Lukuvi🤣🤣

    Ismani ipi unaongelea? Kuna kipande Gani Cha barabara angalau kimejengwa kwa Lami kwa jimbo Zima? au unahesabia barabara kuu ya Iringa Dodoma?
  9. braza bonge

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Kwa hiyo watakaa na hiyo hela kwa miaka 30🥺, thamani yake si itakuwa imebaki 20% tu?
  10. braza bonge

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Wakuu, Mimi pia Nina hela yangu kidogo NSSF baada ya kufanya kazi kwenye mradi Fulani wa HIV/AIDS kwa miaka minne, Kisha nikapata kazi serikalini, hivyo kwa sasa mafao yangu yanaingia PSSF. Lakini niliwahi kujaribu kufuatilia nikaambiwa nisubiri nitakapostaafu. Kwa mwenye uelewa kwa sasa naweza...
  11. braza bonge

    JamiiForums Tanzania KERO Kuzorota kwa huduma za Tiba na Matunzo kwa WAVIU mkoa kwa Kagera kuanzia January 2026

    Pole sana, ni kweli huduma zimezorota kidogo kipindi hiki ambapo miradi mingi Haina Fedha, na hata yenye Fedha mikataba Yao ni hadi mwezi March, baada ya hapo hatujui Hali itakuwaje! CTC maeneo mengi wahudumu wake wanalipwa na hii miradi, wafanyakazi wa serikali kwa uchache wao na ukizingatia...
  12. braza bonge

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tume ya uchaguzi ya CAF (Refarii)kainyima ushindi Taifa stars.

    Hivi ndivyo maCCM hufanya, na huwa tunakereka hivi hivi😂😂😂
  13. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Kama CCM wataendelea kubaki madarakani, Nini hatma ya mamia ya watu waliotekwa?

    Tutazuiaje mkuu? wote tusifu na kuabudu?
Back
Top Bottom