Wakuu, Mimi pia Nina hela yangu kidogo NSSF baada ya kufanya kazi kwenye mradi Fulani wa HIV/AIDS kwa miaka minne, Kisha nikapata kazi serikalini, hivyo kwa sasa mafao yangu yanaingia PSSF.
Lakini niliwahi kujaribu kufuatilia nikaambiwa nisubiri nitakapostaafu.
Kwa mwenye uelewa kwa sasa naweza...
Pole sana, ni kweli huduma zimezorota kidogo kipindi hiki ambapo miradi mingi Haina Fedha, na hata yenye Fedha mikataba Yao ni hadi mwezi March, baada ya hapo hatujui Hali itakuwaje! CTC maeneo mengi wahudumu wake wanalipwa na hii miradi, wafanyakazi wa serikali kwa uchache wao na ukizingatia...
Habari Wana bodi, kama tittle inavyojieleza, kuelekea uchaguzi mkuu tumeona mamia ya watu wakitekwa na kwa isivyo bahati, serikali ya CCM haijatoa ushirikiano katika hili jambo, aidha mgombea wao amechagua kukaa kimya.
Je, watu ambao wanatamka kulinda utu wa Mtanzania kwa maneno tu bila vitendo...
Habari Wana bodi, niende kwenye mada Moja kwa Moja!.
Polisi wetu Wana tabia zinazofanana, wanapenda kutumia nguvu kuliko akili(labda hawana akili), wanapenda ubabe na wanafurahia kupiga raia.
Wanashindwa kufanya na kukamilisha upelelezi kwenye mambo ya maana, ila ya kijinga upelelezi...
Chawa kwenye ubora wako! leo unakiri Magufuli alifanya hayo yote wakati ambapo wewe ulikuwa kwenye team yake ya praise and worship! uliwahi kukemea hivyo vitu? wewe tunaenda na upepo unakoenda na nd'o kazi ya chawa!
Hivyo vyombo vya usalama vilishaingiliwa , ni magenge ya Kijani tu, Wala hawaingii au kupewa vyeo kwa sifa zingine zaidi ya uzalendo wao kwenye mbogamboga!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.