Recent content by braza bonge

  1. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Upolisi siyo kazi ya laana, hakuna taaluma iliyoundwa kwa ajili ya dhuluma. Kusudi la upolisi ni kulinda maisha ya wananchi

    Kama Kuna polisi humu tupate shuhuda zao, na je wanajisikiaje kulalamikiwa hivi? Wanachukua jitihada Gani kulinda hadhi ya jeshi la polisi?. Tunakoelekea Hali itakuwa mbaya zaidi kwa sababu wao wapo kama nyumbu tu wanatekeleza Kila amri hata kama wanajua ipo kinyume na maadili na kiapo chao.
  2. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Heche, dawa ya tuhuma sio wanawake kukufariji ni kujibu tuhuma na kupisha uchunguzi

    Hivi hela anayotuhumiwa nayo ni kiasi gani? na ilifikaje kwa Heche?
  3. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Mourinho: Mechi ya Misri na Argentina ilikuwa filamu

    Mou ni mreno, tunatambua maumivu Yao!
  4. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Anachokifanya Fr. Kitima ni utovu wa nidhamu kwa mamlaka ya Kikatoliki

    Mtoa Uzi una upumbavu mwingi sana! kwa hiyo mnataka msikemewe kwa hayo mnayofanya? Kati ya nyie mnaoteka na kuua watu, na wanaokemea mnayoyafanya nani anaharibu amani?
  5. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Ni ipi salam isiyo ya kitumwa tujadilini tote kwa pamoja

    Huku kwa wasukuma wanataka usalimie kisukuma tu😂, wanaamini ukiwa Mtanzania lazima ujue hii lugha! kwa wale wanaojua kiswahili, ukichelewa anaanza yeye kukwambia marhaba. NB salamu ya kiswahili ni "habari yako"
  6. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Ni ipi salam isiyo ya kitumwa tujadilini tote kwa pamoja

    Huku kwa wasukuma wanataka usalimie kisukuma tu😂, wanaamini ukiwa Mtanzania lazima ujue hii lugha! kwa wale wanaojua kiswahili, ukichelewa anaanza yeye kukwambia marhaba. NB salamu ya kiswahili ni "habari yako"
  7. braza bonge

    JamiiForums Tanzania FT: Portugal 1-1 DR Congo | World Cup 2026 | NRG Stadium (Houston, TX)

    CR7 kamalizaje dk 90, au wanamuogopa?😂
  8. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

    Haya! watu wamefukua makaburi huku🥺. Pep kafanya yake Epl na anasepa!
  9. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Hapo umefikiria mwenyewe😂😂 ila think tank za CCM ni janga la taifa. Michezo inafanyika miaka yote hiyo na serikali Haina majibu, wanaishia kujilalamisha kwenye majukwaa! si ni kujidhalilisha huku?
  10. braza bonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Takataka hii kuzaa kwa nani?😂😂
  11. braza bonge

    JamiiForums Tanzania Je, IQ ya Mtu inaweza kuongezwa au unazaliwa nayo tu?

    Tuwachangie viongozi wa chama chakavu wakapate material!
  12. braza bonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Hii tume itafanya kazi kwa muda gani?
  13. braza bonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Kwa matokeo yale Tume ya Uchaguzi ndiyo ilipiga kura sio Wananchi

    Ukiambiwa watu wazima wapewe heshima, nd'o kama hawa akina Warioba! ila linapokuja suala la wazee walio wengi sample za wazee wa Time, tunapata kigugumizi kuwaambia watoto wetu waheshinu wazee!
Back
Top Bottom