Recent content by braza bonge

  1. braza bonge

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Kwa hiyo watakaa na hiyo hela kwa miaka 30🥺, thamani yake si itakuwa imebaki 20% tu?
  2. braza bonge

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Wakuu, Mimi pia Nina hela yangu kidogo NSSF baada ya kufanya kazi kwenye mradi Fulani wa HIV/AIDS kwa miaka minne, Kisha nikapata kazi serikalini, hivyo kwa sasa mafao yangu yanaingia PSSF. Lakini niliwahi kujaribu kufuatilia nikaambiwa nisubiri nitakapostaafu. Kwa mwenye uelewa kwa sasa naweza...
  3. braza bonge

    KERO Kuzorota kwa huduma za Tiba na Matunzo kwa WAVIU mkoa kwa Kagera kuanzia January 2026

    Pole sana, ni kweli huduma zimezorota kidogo kipindi hiki ambapo miradi mingi Haina Fedha, na hata yenye Fedha mikataba Yao ni hadi mwezi March, baada ya hapo hatujui Hali itakuwaje! CTC maeneo mengi wahudumu wake wanalipwa na hii miradi, wafanyakazi wa serikali kwa uchache wao na ukizingatia...
  4. braza bonge

    Tume ya uchaguzi ya CAF (Refarii)kainyima ushindi Taifa stars.

    Hivi ndivyo maCCM hufanya, na huwa tunakereka hivi hivi😂😂😂
  5. braza bonge

    Kama CCM wataendelea kubaki madarakani, Nini hatma ya mamia ya watu waliotekwa?

    Tutazuiaje mkuu? wote tusifu na kuabudu?
  6. braza bonge

    Kama CCM wataendelea kubaki madarakani, Nini hatma ya mamia ya watu waliotekwa?

    Habari Wana bodi, kama tittle inavyojieleza, kuelekea uchaguzi mkuu tumeona mamia ya watu wakitekwa na kwa isivyo bahati, serikali ya CCM haijatoa ushirikiano katika hili jambo, aidha mgombea wao amechagua kukaa kimya. Je, watu ambao wanatamka kulinda utu wa Mtanzania kwa maneno tu bila vitendo...
  7. braza bonge

    Polisi wetu ni watu wa aina Gani Mbona wanafanana?

    Habari Wana bodi, niende kwenye mada Moja kwa Moja!. Polisi wetu Wana tabia zinazofanana, wanapenda kutumia nguvu kuliko akili(labda hawana akili), wanapenda ubabe na wanafurahia kupiga raia. Wanashindwa kufanya na kukamilisha upelelezi kwenye mambo ya maana, ila ya kijinga upelelezi...
  8. braza bonge

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Akina Mwashambwa wapumnzike na uchawa wao....watuache wenyewe huku
  9. braza bonge

    Nitaijibu Barua Ya Kujiuzulu ya Humphrey Polepole kwa Hoja Nzito na kuonyesha Unafiki wake na wale wanaomtumia kumyumbisha Rais Samia

    Chawa kwenye ubora wako! leo unakiri Magufuli alifanya hayo yote wakati ambapo wewe ulikuwa kwenye team yake ya praise and worship! uliwahi kukemea hivyo vitu? wewe tunaenda na upepo unakoenda na nd'o kazi ya chawa!
  10. braza bonge

    Wazalendo ndani ya vyombo vya usalama simamemi sasa na nchi!!

    Hivyo vyombo vya usalama vilishaingiliwa , ni magenge ya Kijani tu, Wala hawaingii au kupewa vyeo kwa sifa zingine zaidi ya uzalendo wao kwenye mbogamboga!
  11. braza bonge

    GE2025 Afrobarometer: Rais Samia atashinda Uchaguzi akigombea na yeyote kwa 83%

    Afungue watu mikono waingie nae ulingoni fairly, ushindi unakuwa na mashiko ukiwashinda watu kwa haki, tena mchana kweupe!
  12. braza bonge

    Maisha yangu binafsi na msoto niliopitia tangu mwaka 1996

    Au za Mwatasi😂😂 😂😂
Back
Top Bottom