Recent content by brawnchric

  1. brawnchric

    Tundu Antipas Lisu anajiamini sana, muogope sana Mwanasiasa asiyeogopa risasi!

    So kama you arr not intelligent enough to grasp the concept at another parcepective i cant argue you domocracy in Tanzania is better than half dictatorship rulling … nice day mzeeee …..!
  2. brawnchric

    Tundu Antipas Lisu anajiamini sana, muogope sana Mwanasiasa asiyeogopa risasi!

    If your mind still belives in democracy for the economic growth then you are still yet to be a JF member . Please analyse the upcoming super power countries like china and think without some leaders having vision of the Late president JPM. Think without those vision if china would be where it is...
  3. brawnchric

    Kassim Majaliwa: Namuagiza Naibu Waziri Mkuu kushughulikia suala la uhaba wa mafuta nchini

    i guess PM kawapambanisha wao wao ili ajue kama Vpm amekuja kumsaidia au ni chawa na s💯 akiweza stabilize price ya mafuta majaliwa atajua ana mtu ila akishindwa majiliwa atajua tu ofisini kwake amekuja mamluki 😂😂😂 ni karata nzuri sana tusubiri Dr Biteko ana nini cha kuwapa watanzania 😂
  4. brawnchric

    Umaskini wa familia unatokana na Baba dhaifu, na umaskini wa taifa unatokana na Wanaume Legelege

    Mtibeli nahis utakua unaamini maendeleo yanatoka kwenye dictatorship haya mambo ya democracy yamekuja kuharibu mipango mizima ya maisha. Mwanaume akiwa na kauli uanaume legelege unapotea tofauti na hizi democracy za mwanamke nae ana haki 🙂🙂🙂
  5. brawnchric

    Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

    hujasikia huko watu wako wanabadili mkataba kimya kimya 😂😂😂😂 kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo
  6. brawnchric

    Kuna baadhi ya Viongozi wa Dini Wanataka kumdhoofisha na kumpa hofu Rais Samia

    wewe dgo njaaa itakuuua 😅😂 sawa umeleta hoja unaweka namba ya simu ya nini kama sio mlamba mattercore ya ccchm sijui kama una famili ila jitahid kuandika vitu vyenye faida mana watu sio wajinga kama weww unae fwatilia teuzi kwa kujimbendekeza pasipo na sababu.
  7. brawnchric

    Mbeya: Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali waachiwa kwa dhamana

    hio huruma na ucha Mungu hakua nao wakati anawakamata 😅 halafu tangu lini wahaini wakakamatwa na polisi kina sajenti 😂 hayo ni mambo ya tiss eti mtu ambae mwisho wa silaha yake ni Ak47 anaenda daka wahaini 😅 watoto wa ssh wanasema ni huruma.Tangu lini mtuhumiwa akaonewq huruma kisa ya umri au...
  8. brawnchric

    Mbeya: Boniface Mwabukusi na Mdude Nyagali waachiwa kwa dhamana

    dunia ingekua ni king’amuzi tanzania ingekua channeli ya vichekesho 😂😂
  9. brawnchric

    Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

    kwa haya mambo mtu wa uhaini anapewa dhamana unaweza kuta bongaland ni channel ya vichekesho huko mbinguni … 😂😂
  10. brawnchric

    Bandari na kituko cha taifa

    we nawe kuna mda hueleweki upo upande gani mara umlambe mama mara ulambe wapinzanzani.Au unataka tu kuwa na threads nyingi Jf kwa kuchanganya watu
  11. brawnchric

    Dkt. Tulia awasha moto Mbeya Mjini, awafundisha wananchi masuala ya kisheria hadharani na kusoma maamuzi ya Mahakama

    huo kazi kakuchapa wewee au unaangalia kwa tumbo na sio macho 😂😂 wewe ni mwana mbea mmoja unajikuta unaleta maoni ya waty wengi hpa kaa kwa kutulia na tabia zako za kulamba watu
  12. brawnchric

    Dkt. Tulia awasha moto Mbeya Mjini, awafundisha wananchi masuala ya kisheria hadharani na kusoma maamuzi ya Mahakama

    Njaaa mbaya sana sasa kijana namba yako ya simu umeweka ya nini kama sio tumbo linazid kichwa 😂 hii nchi ngumu sana
  13. brawnchric

    Wanasheria kufungua Kesi ya kutaka Dkt. Slaa na wenzake wafikishwe Mahakamani

    sasa umeona akili zako zilivo mbovu 😂 we unewai ona mavi yako yapo kichwani 😂 uhalisia ni kwamba bichwa lako limejaa makamasi kaka 😂 na jina lako kama mganga wa kienyeji
  14. brawnchric

    Wanasheria kufungua Kesi ya kutaka Dkt. Slaa na wenzake wafikishwe Mahakamani

    hizi akili mtu mweusi unazitoa wapi mbona kama kichwani kumejaa kamasi mtu anapinduaje nchi tena mtu mmoja hana hata support ya kijeshi.Au unafikir kupindua nchi ni sawa na kugeuza upande wa kitanda chako ..? piga chafya nyingi utoe kamasi huenda ukapata akili kidogo …
Back
Top Bottom