Recent content by Bravo AI

  1. B

    Nani walileta utaratibu wa kutahiri wanaume na kuketa wanawake Africa?

    Sawa, ngoja nizidi kupata elimu zaidi kuhusu hilo kwa uingereza
  2. B

    Nani walileta utaratibu wa kutahiri wanaume na kuketa wanawake Africa?

    Hebu fuatilia uingereza ni zaidi ya wanawake laki sita wanakeketwa kila mwaka hizi ni tafiti zimefanywa na BBC au uingereza haipo ulaya
  3. B

    China tayari imezindua 10G

    Kabisa labda hiyo 10gbps iwe kwa taasisi kubwa ila kwa mtu binafsi hata ukiwa na 200mbps ni nzuri
  4. B

    China tayari imezindua 10G

    Utakuwa umechanganya kidogo, jua mtu anaye miliki fiber ni USA pekee wengine wote tunanunuua kutoka kwake ikiwemo na China. Ndio maana kukitokea tatizo lolote kwenye bahari la fibercut hata mchina atakosa internet. Hapo wachina wanazungumzia kuwa wana switch zenye uweze wa kutoa internet yenye...
  5. B

    China tayari imezindua 10G

    Kwa mtu wa kawaida hiyo ni kubwa sana, kama sijakosea saivi unaweza kupata 4Gbps na kila port itapitisha 1gbps au 2gbps na hapo matumizi yawe ya Taasisi, kwa mtu binafsi 200mbps inatosha sana
  6. B

    Vifaa vya kijasusi vya aliyekuwa Jasusi Eli Cohen vyapatikana huko Syria!!!

    Tena aliachwa alipotaka kujiunga na MOSSAD. Baada ya muda kupita na kukosa mtu sahihi kuingia Syria kupindua utawala wakafungua mafaili wakaona yeye ndo anaye faa maana ni Jewish Arab na baba yake alitokea Syria akaenda Egypt. Wakati huo chama cha ba'ath chini ya Assad mzee ni haramu nchini...
  7. B

    Vifaa vya kijasusi vya aliyekuwa Jasusi Eli Cohen vyapatikana huko Syria!!!

    Asante naomba nitumie soft copy niongeze maarifa, maana hizo mbinu naweza tumia hata kwenye ujasilia mali
  8. B

    Vifaa vya kijasusi vya aliyekuwa Jasusi Eli Cohen vyapatikana huko Syria!!!

    Kabla hujasema uwongo, jaribu kufanya research hata ya juu juu kidogo, sisi wengine tunapenda kusoma na kijifunza mapya kila siku. Kimekupa kitu kidogo utafute miti aliyo panda kimkakati eti anawapenda wanajeshi wa syria wawe wanapumzika kwenye kivuli. Miti aliyo panda ndio iliyo sababisha...
  9. B

    Vifaa vya kijasusi vya aliyekuwa Jasusi Eli Cohen vyapatikana huko Syria!!!

    Msome vizuri utajua alifanya nini katika six day of war. Fuatilia jinsi miti aliyo panda kimakusudi na kiakili ilivyo wezesha majeshi kulenga shabaha kiukamilifu
  10. B

    Vifaa vya kijasusi vya aliyekuwa Jasusi Eli Cohen vyapatikana huko Syria!!!

    Yaani 6 day war yeye ndie wa kushukuriwa na Israel, kama walimpandikiza kama mfanyabiashara kutoka Argentina na alikuwa anachukua uwaziri wa uchumi. Ila serikali ya mpya ya Syria inabidi ijiangalie asije kuwepo mwamba kama huyu tena
  11. B

    Vifaa vya kijasusi vya aliyekuwa Jasusi Eli Cohen vyapatikana huko Syria!!!

    Huyu mwamba nilikuwa namsoma juu juu kumbe alikuwa ni hatari sana
  12. B

    Jaji wa UN Pia Jaji wa Mahakama Kuu Uganda Ahukumiwa Miaka 6 Jela Nchini Wingereza. Nimejifunza mengi kupitia kesi hii

    Na tutafungwa wengi sana, maana mtu mwenye kipato cha 500k Tanzania naye unakuta ana mfanyakazi wa ndani. Sasa sheria ikisema amlipe 500k si ni kumsfilisi kabisa
  13. B

    DOKEZO Shule ya Precious Pre, Primary and Secondary Goba ifanyiwe uchuguzi, kuna mambo yanaendelea si afya kwa watoto

    Pole sana ndugu. Ila na sisi wazazi tumezidi yaani mtoto wa primary unampeleka boarding yaani miezi mitatu hujui mtoto anakula nini anaendeleaje maana hao watoto wanatishwa sana wasiseme mambo ya shule. Najua saivi utakuwa tumejifunza kitu. Jua hakuna mtu duniani anayeweza kumpenda mtoto wako...
  14. B

    Video: Bondia Mwakinyo adaiwa kujeruhi kijana mmoja kwa kisu na mbwa mkoani Tanga

    N Ndugu unajuaje kuwa alifungiwa kwenye banda na mbwa? Sisi binadamu tuna uwongo mwingi sana tunapotafuta huruma kwa watu. Kwanini iwe yeye tu afungiwe kwani hakuna watu wengine wanapita hapo?
Back
Top Bottom