Recent content by BradFord93

  1. BradFord93

    Kusomesha watoto wa watu huku wa kwako wanateketea

    Kuna kitu cha kujifunza nimeona nigawane nanyi Unapoamua kusomesha watoto wa ndugu zako...hakikisha na wa kwako umewandalia mazingira mazuri kwa ajili ya mbelen Kuna mdingi ametoa ushuhuda leo...kasomesha watot wa dada zake mpaka wamepata kazi wizarani huko....huku wanae akiwatenga kwa maneno...
  2. BradFord93

    Nimemuomba wife aniazime kiasi flani cha pesa, ameninyima, ila amejipost kwenye status yuko somewhere anakula bata na mashost zake

    Asa kama mtu hela yake haijulikan inaenda wap ni bora akae ndan tu...ili ujue ni jukum lako
  3. BradFord93

    Nimemuomba wife aniazime kiasi flani cha pesa, ameninyima, ila amejipost kwenye status yuko somewhere anakula bata na mashost zake

    Money hua ina principle kuwa ni lazima itumike...kama wew huitumii pesa yake....basi kuna mtu anaitumia....kuna wachungaji...waganga....ndugu zake na marafiki kazini
  4. BradFord93

    Mwanamke mbinafsi hua mnaishi nae vipi??

    Kuna mwana mmoja dereva wa bajaj, sasa kuna usiku mmoja alikesha ila biashara haikuwa nzuri. Asubuhi mkewe anataka hela ya pampas, akamwambia kama ana kaakiba akanunue, ila mchana akiingia mzigoni atampa, demu kakomaa ila jamaa akambembeleza, baadae akamfunga mtoto vikanga. Sasa mwana siku...
  5. BradFord93

    Ndugu zangu hawataki tukarabati nyumba ya wazazi wetu. Pesa iliyopo wanataka tugawane, naombe mawazo yenu

    Sisi tumezaliwa wa4 Bahati mbaya wazazi wamefariki na wakatuachiia nyumba 5...! Wa3 kati yetu kila mtu ana maisha yake ila mmoja yupo kwenye nyumba mojawapo huku zingine tumepangisha Sasa hapa juzi kati tumepiga dili la kama milioni 5 hivi na wakati tunasubiri dili likae tulikubaliana kuwa...
  6. BradFord93

    Waliooa wanawake wanaofanya kazi

    Nd maana mpk sasa sijamjibu chchte...maana watu wanaolala pamoja naked co wa kuwashauri
  7. BradFord93

    Waliooa wanawake wanaofanya kazi

    Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana...
  8. BradFord93

    Waliooa wanawake wanaofanya kazi

    Yeah hiyo ni kweli...!!mwanamke akiwa na hela nyingi zisizo na kazi...huanza kugawa
  9. BradFord93

    Waliooa wanawake wanaofanya kazi

    Hailetwi...!!dem anajenga huko kwao
  10. BradFord93

    Waliooa wanawake wanaofanya kazi

    Kama mkeo anafanya kazi... Majukumu ya ndani unaysimamia mwenyewe vizuri. Jukumu la kodi pia unalisimamia wewe mwenyewe vizuri. KUNA HAJA YA KUMPA HELA YA NAULI NA YA KULA AKIENDA KAZINI?
  11. BradFord93

    Wazazi tunaofanya biashara tuwaandae watoto mapema wafike mbali kutuzidi, shule ipewe nafasi lakini iwe kwajili ya maarifa ila sio ndoto za kuajiriwa

    Kwakweli mm plan yangu mwanangu lazima aijue biashara niifanyayo...jumamosi naenda nae ofisin kbsaa...mtoto anajengwa udogoni
  12. BradFord93

    Mkasa wa kweli: Nilifanywa boya kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu akidai ana mtoto wangu

    Mimi nshaaah kshuhudia dem ana kadi 4...kuna jamaa yupo mkoa analea mtoto na hjawah ht kmuona...!!so ht sijashtuka...cku hz hutakiw kuwaamin hawa watu
  13. BradFord93

    Kiherehere cha kujifanya kuingilia mahusiano ya watu kimewaumiza na kuwaliza wanaume wengi

    Je kuna sehem anadaiwaaa??...maana kaandika kwa haraka saana
  14. BradFord93

    Ndoa hapana! Sitaki

    Mimi mambo ya ndoa nlianza kuyaona magumu pale nlpoona baba mpangaji mwenzangu ananyata asubuh saa 11 akitaka kusepa bila kuacha hela...!!na mke akamuwah kwenye korido...!!sasa hapo nkawa nmeganda tu na ndoo yangu...niende niendako au nirudi chumbani...!!
Back
Top Bottom