Recent content by Bra-joe

  1. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania She is a gift that keeps on giving……let her talk!

    Ndugu, siyo yeye, damu za watu zinamtesa!
  2. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Kinacholeta vurugu kwenye Taasisi ni kupindisha haki na uwazi

    Anajaribu kujitofautisha na Manyang'au, nadhani anajua Kuna kitu siku si nyingi manyang'au yataishiwa nguvu.
  3. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Manabii wa Uongo Wapo!. Angalia Nabii huyu wa uongo wa Kenya Unabii Wake wa Uongo kuhusu Tanzania!, Adai Urais wa Samia Tanzania, Haufiki 2030!

    Huko ni mbali sana! Anguko lake ni ndani ya miezi michache kuanzia sasa. Sijui kitamtokea nini, ila kiti cha uraisi kitakaliwa na mtu mwingine.
  4. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya mabeberu kutengeneza magonjwa Mungu anawaona. Panya kwenye meli ya kitalii wapi na wapi.

    Ile couple iliyokufa inasadikika waliingia na ugonjwa melini, walipandia Argentina.
  5. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Namshauri Jaji Chande akimbie nchi, akiwa nje atueleze ukweli kuhusu uchunguzi wao

    Wanaukumbi, kama ulifuatilia hii tume Chande tangu mwanzo mpka mwisho wake utagundua huenda tulichosomewa na tume sicho kilichogunduliwa na tume. Nachodhani tume ilipeleka ripoti, baada ya watawala kuona itawakaanga wakajifanya kuio gezea tume muda ili kuihariri na hatimaye tumesomewa kitu...
  6. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ngazi ya juu ya irani wageukana

    Unaijua hali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ya Iran baada ya kutofautiana na USA?
  7. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ngazi ya juu ya irani wageukana

    Unaijua hali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ya Iran baada ya kutofautiana na USA?
  8. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Kigwangalla aongea kwa uchungu na huruma kuwa amekimbiwa na marafiki baada ya kupoteza Ubunge na Uwaziri. Alengwa na machozi

    Hayo maneno ya mwisho ni yako wewe chawa mkuu, si maneno ya Kigwngala.
  9. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanauawa kwa risasi South Africa (Sauzi). Nini kiko nyuma ya pazia?

    Huko Limpopo ambako unadhani Kuna usalama ndiyo kunatoka wahalifu sugu wanaosumbua karibu Gauteng yote, hasa Pretoria. Mfano Collins Chauke, Josia Rabotapi. Hata ukiangalia Lugha ambayo mara nyingi waalifu wa Gauteng wanaitumia ni Sotho(Tsotsi taal) Limpopo kunatokea TU utulivu wa hapa na pale...
  10. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanauawa kwa risasi South Africa (Sauzi). Nini kiko nyuma ya pazia?

    Ndiyo maana nikasema South kuna watu wenye tabia zote, huyo unayemzungumzia anaaangukia kwenye tabia nilizozitaja hapo juu. Mara nyingi mbongo akifika south anakuwa na tabia ya watu waliyompokea, kama waliyompokea watakuwa wahalifu, na yeye atakuwa mhalifu, kama watakuwa wanafanya biashara ndogo...
  11. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanauawa kwa risasi South Africa (Sauzi). Nini kiko nyuma ya pazia?

    South hakuna sehemu salama! Mimi liishi Johannesburg maisha yangu yote ya south, nilikaa Joubert park, Dornfontein, Marlborough karibu na Alexandra, Rosettenville, na Vlakfontein Soweto. Kuhusu kesi za mzungu na mweusi hawa watu ni kama wamegawana uhalifu, mzungu akimuua mweusi watasema ubaguzi...
  12. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanauawa kwa risasi South Africa (Sauzi). Nini kiko nyuma ya pazia?

    South Africa ni nchi ambayo Sheria zake siyo ngumu kabisa, hii inachangia kwa kiasi kikubwa watu kufanya uhalifu, ukifungwa, jela Kuna mazingira mazuri, ukitumikia kifungo kidogo TU unatolewa, kesi za mauaji zinadhamana, unaweza kumuua mtu halafu marehemu akikutwa na bunduki au kitu chenye ncha...
  13. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanauawa kwa risasi South Africa (Sauzi). Nini kiko nyuma ya pazia?

    Hao unaosema wanakwenda kuchukua namba ni wachache sana! Ukweli ni kwamba shughuli za wabongo South Africa ni sawa na shughuli tunazofanya hapa Tanzania. Wapo machinga, wafanya kazi mbali mbali, wahalifu, watoa huduma . N.k Nakueleza haya kutokana na uzoefu wa kuishi South Africa tangu miaka ya...
  14. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanauawa kwa risasi South Africa (Sauzi). Nini kiko nyuma ya pazia?

    Siyo kweli, South Africa kila mtu yupo kwenye hatari ya kipigwa risasi. Wazawa ndiyo wanaongoza kwa kufa kwa risasi.
Back
Top Bottom