Wanaukumbi, kama ulifuatilia hii tume Chande tangu mwanzo mpka mwisho wake utagundua huenda tulichosomewa na tume sicho kilichogunduliwa na tume.
Nachodhani tume ilipeleka ripoti, baada ya watawala kuona itawakaanga wakajifanya kuio gezea tume muda ili kuihariri na hatimaye tumesomewa kitu...
Huko Limpopo ambako unadhani Kuna usalama ndiyo kunatoka wahalifu sugu wanaosumbua karibu Gauteng yote, hasa Pretoria. Mfano Collins Chauke, Josia Rabotapi.
Hata ukiangalia Lugha ambayo mara nyingi waalifu wa Gauteng wanaitumia ni Sotho(Tsotsi taal)
Limpopo kunatokea TU utulivu wa hapa na pale...
Ndiyo maana nikasema South kuna watu wenye tabia zote, huyo unayemzungumzia anaaangukia kwenye tabia nilizozitaja hapo juu.
Mara nyingi mbongo akifika south anakuwa na tabia ya watu waliyompokea, kama waliyompokea watakuwa wahalifu, na yeye atakuwa mhalifu, kama watakuwa wanafanya biashara ndogo...
South hakuna sehemu salama! Mimi liishi Johannesburg maisha yangu yote ya south, nilikaa Joubert park, Dornfontein, Marlborough karibu na Alexandra, Rosettenville, na Vlakfontein Soweto.
Kuhusu kesi za mzungu na mweusi hawa watu ni kama wamegawana uhalifu, mzungu akimuua mweusi watasema ubaguzi...
South Africa ni nchi ambayo Sheria zake siyo ngumu kabisa, hii inachangia kwa kiasi kikubwa watu kufanya uhalifu, ukifungwa, jela Kuna mazingira mazuri, ukitumikia kifungo kidogo TU unatolewa, kesi za mauaji zinadhamana, unaweza kumuua mtu halafu marehemu akikutwa na bunduki au kitu chenye ncha...
Hao unaosema wanakwenda kuchukua namba ni wachache sana!
Ukweli ni kwamba shughuli za wabongo South Africa ni sawa na shughuli tunazofanya hapa Tanzania.
Wapo machinga, wafanya kazi mbali mbali, wahalifu, watoa huduma . N.k
Nakueleza haya kutokana na uzoefu wa kuishi South Africa tangu miaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.