Hii inatupa picha kwamba USA anaweza kumsaidia adui wa Urusi wazi wazi wakati WA vita, lakini Urusi hawezi kimsaidia adui wa Marekani wazi wazi wakati WA vita.
Hii inaonesha nchi zote Duniani zinaogopa vikwazo vya USA.
Kuyaelewa mapendekezo ya USA kumaliza vita ni mpaka uwe na D2.
Iran kawekwa kati, akikubali noma! akikataa noma!
Na yamewekwa ki mkakati ili akatae halfu mambo mengine yaendelee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.