Recent content by Bra-joe

  1. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Updates: Mageti yafunguliwa ili angalau watu waingie, Ni bure hakuna kiingilio tena

    Je ikitokea waandamanaji wakaenda huko uwanjani na waanzisha maandamano kutokea humo uwanjani polisi wataweza kweli?
  2. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Wamekata tamaa au wanahofu?

    Muda utasema, bado kitambo kidogo sana!
  3. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Hisia za jamii kuelekea 7/7: Je maandamano yapo au hayapo?

    Jibu la moja Kwa Moja halipo. Watu wengi wanatamani yawepo lakini wanasubiri nani wa kuyaanzisha, kwa sasa Tanzania ni kama petrol imemwagwa chini nch nzima, tunasubiri tu kibiriti ambacho ccm na vyombo vya ulinzi wanakilinda mtu asikichukue,. Hapa namaanisha ikitokea watu Wachache wakatoka...
  4. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Unapoona JWTZ wanatoa angalizo ujue wazi kuwa waandaaji wa maandamano ni Mataifa ya nje!

    Tuchukulie tumekubaliana na mawazo yako! Nikuulize swali, kwanini hawa jwtz waliruhusu watanzania kuuwawa kwa siku tatu mfululizo? Kwanini wanaendelea kuangalia TU watu wanatekwa? Kwa nini wanakulbali kutumika kisiasa?
  5. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania JWTZ jiepushe na kuibeba CCM. Jiepushe na kuingilia siasa. Iache CCM iminyane na wapinzani majukwaa ya siasa. Hakuna mwenye nia mbaya na nchi yetu!

    Mjeshi anaonekana kama katekwa na anatoa tamko kwa shinikizo. Ukiangalia sura yake na sauti yake utamuona kabisa siyo yeye. Na kwanini amekwepa kabisa kusema neno maandamano?
  6. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania JWTZ mmesikia na sauti iko sawa kabisa, kazi kwenu

    Ni wapi nimesema nitaandamana? Tatizo la watanzania ni kusoma ili ujibu, na si kusoma ili uelewe. Jaribu kunisoma tena ukiwa na mtazamo wa kutaka kuelewa.
  7. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania JWTZ mmesikia na sauti iko sawa kabisa, kazi kwenu

    Watanzania ni wagumu kuelewa, jeshi limesema yeyote atakayeleta vurugu watamshughulikia! Hii maana yake watu wakiandamana kwa amani halafu polisi wakaleta vurugu watashughulikiwa. Kitendo cha polisi kujaribu kuwatawanya waandamanaji kwa mabomu ya machozo au virungu kutatafsiriwa kama kuleta...
  8. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Marekani na Iran zimeripotiwa kufikia makubaliano ya kihistoria

    Bila mapigano kusingefikiwa makubaliano haya. Kumbuka kulikuwa na makibaliano kati ya Iran na USA wakati wa utawala wa Obama. Makubaliano hayo yaliendelea kuifanya Iran kuwa na uwezo wa kutengeneza bomb la nyuklia. Alipoingia Trump mazungumzo yalianza lakini hayakufanikiwa, baada ya kupimana...
  9. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania She is a gift that keeps on giving……let her talk!

    Ndugu, siyo yeye, damu za watu zinamtesa!
  10. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Kinacholeta vurugu kwenye Taasisi ni kupindisha haki na uwazi

    Anajaribu kujitofautisha na Manyang'au, nadhani anajua Kuna kitu siku si nyingi manyang'au yataishiwa nguvu.
  11. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Manabii wa Uongo Wapo!. Angalia Nabii huyu wa uongo wa Kenya Unabii Wake wa Uongo kuhusu Tanzania!, Adai Urais wa Samia Tanzania, Haufiki 2030!

    Huko ni mbali sana! Anguko lake ni ndani ya miezi michache kuanzia sasa. Sijui kitamtokea nini, ila kiti cha uraisi kitakaliwa na mtu mwingine.
  12. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya mabeberu kutengeneza magonjwa Mungu anawaona. Panya kwenye meli ya kitalii wapi na wapi.

    Ile couple iliyokufa inasadikika waliingia na ugonjwa melini, walipandia Argentina.
  13. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Namshauri Jaji Chande akimbie nchi, akiwa nje atueleze ukweli kuhusu uchunguzi wao

    Wanaukumbi, kama ulifuatilia hii tume Chande tangu mwanzo mpka mwisho wake utagundua huenda tulichosomewa na tume sicho kilichogunduliwa na tume. Nachodhani tume ilipeleka ripoti, baada ya watawala kuona itawakaanga wakajifanya kuio gezea tume muda ili kuihariri na hatimaye tumesomewa kitu...
  14. Bra-joe

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa ngazi ya juu ya irani wageukana

    Unaijua hali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ya Iran baada ya kutofautiana na USA?
Back
Top Bottom