Wapanue tax base bado kuna biashara nyingi Sana hapa hazitozwi kodi tatizo wameng'ang'ania pombe na sigara. Pia wapunguze anasa vasco da gama apunguze exploration.
Huyu jamaaa kwa nn alipue mkutano wa chadema, kanisana ,bar tena aende kwa shekhe uhusiano uko wapi hapo Police tupeni majibu ya uhakika sio ubabaishaji
so baada ya nchi za magharibi kugoma kuchangia bajeti wameamua kuwageukia mahasimu wa magharibi kama ni kweli ccm wanataka kutuletea balaa na hawatashinda vita hii
Vipi kuhusu deni la Taifa liko mara ngapi ya awamu zingine? thamani ya shilling ilikuwaje 2005 na leo vipi? Vipi mfumko wa bei ukoje? Na makusanyo ya kodi vipi? Vipi ushirikiano na majilani zetu ukilinganisha na awamu zingine? Ubora wa elimu na hio miundombinu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.