Recent content by bozzoba

  1. B

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Ndio ile ya kumfukuza nyoka kwa kumwambia tokaaaaa. Unachezea raha wewe.
  2. B

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Aisee kila mmoja na kituko chake. So funny.
  3. B

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    Waafrika kweli akili zetu nyeusi badala ya kutafuta Mungu wetu sisi watu weusi yupo wapi, tunahangaika na Mungu wa wazungu na waarabu. Shame on us kabisa.
  4. B

    Mwanamke anaweza kuishi na mwanaume asiyekuwa na kazi kwa muda wa siku 5 tu

    Wanataka kuupinga ukweli. Women hawawezi hiyo kitu.
  5. B

    Mwanamke anaweza kuishi na mwanaume asiyekuwa na kazi kwa muda wa siku 5 tu

    Tena unatamani hata kupotea dunia. Damn kabisa.
  6. B

    Waziri wangu Ndalichako, mwanafunzi aliyetetewa kwa nguvu zote atafunzwa na dunia!

    Tatizo usipotoa kazi wakaguzi wakija watakuuliza kwa nini hukufuatilia ambao hawakufanya kazi?
  7. B

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Ukweli ni huu sisi weusi huko tuendako tutakuwa matarishi pamoja na juhudi zetu za kutetea dini za wenzetu. Ila watuambie Mungu wetu mweusi yuko wapi, malaika wetu weusi wako wapi na manabii weusi wako wapi. Majibu ya haya maswali angalau yatapungua maswali kwa mtoa mada ya bible na koran ni...
  8. B

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Sisi waafrika tuutafute ukweli wa Mungu wetu mweusi yuko wapi. Na si ipi dini ya kweli wakati zote zimetoka kwa watu weupe. Watuambie Mungu wetu mweusi yuko wapi basi. Si kuja unaaaminishwa tu then tunafuata na kufikia hatua sisi kwa sisi tunauana kisa dini za kuletewa. Hii chuki inatoka wapi...
  9. B

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Huku kuaminishwa tu kuwa ni vitabu vya Allah ndio kunakotupa shida. Kwa nini walipoleta huku wakataka tuache kila kitu tufuate ya kwao? Eti Mungu wao ndio wa ukweli. Hapo ndipo shida inapoanza. Je wa kwetu hawakuwa wa ukweli. Mimi nakataa kabisa kuniambia eti tulikuwa tunaabudu miti, majabali...
  10. B

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Si wazungu tu Mkuu. Ni pamoja na waarabu. Tunaambiwa tuamini tu bila kuambiwa ukweli halisi. Wanatuambia zamani Mungu aliongea na watu. Mbona alikuwa anaongea sirini sana. Je tuna uhakika gani? Na ni huko kwa weupe tu. Mbona hakuongea na sisi weusi? Na likawa kwenye vitabu vyao? Wazee wetu...
  11. B

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Mkuu, hapa huwa napata shida sana. Wameniletea kitabu wakanilazimisha niamini kilichoandikwa. Kwa nini sasa hawataki tuulize maswali mengi ya kujiaminisha?Na kwa nini sisi huku tunalazimisha tu kuwa hiki kitabu ni cha kweli. Wakati maswali magumu hawataki kuyajibu. Mfano, kuna jamaa analazimisha...
  12. B

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Na ndiko tunakoelekea kujua ukweli wa kila jambo hapa duniani.
  13. B

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Mpaka nafika mwisho kusoma hoja sijaona hoja ya kumjibu mtoa mada. Matokeo yake watu wameanza kusifia wanachokiamini wao. Mtoa mada kataka kujua je biblia na qur'an si project za watu? Mimi nakubaliana na mtoa mada kabisa. Hz ni project za watu. Waarabu na Wazungu walitukuta na imani zetu. Kila...
  14. B

    Ulinzi au kufuru? Wamarekani bwana

    Ukiona mtu kazidiwa maarifa na ujuzi hukimbilia maneno ya Mungu ili kujifariji. Hawa jamaa wako realistic kama ndugu aliyesema hapo juu. Reagan alipigwa risasi na sniper, baada ya kosa hilo ndio maana wanatake cover mapema kabisa. Sisi tabu yetu ndio hii Mungu yupo Mungu yupo hatujifunzi kwa...
Back
Top Bottom