Bongo this time limekua chaka la vilio visivyo toa sauti tumekua kama tumerogwa hata tukiwa na hasira watu kumi watu mia wananizamu za woga tuna kikubwa Cha kujifunza tunakikubwa sana nadundulizq mtaji wangu nkimbilie Norway at least nkitia nguvu yng huko huku kwetu ntawekeza ila so pakuishi...
Unajua Kwa huu mwaka hata ambao tulikua hatuijui siasa tumeijua kua Ni Zaidi dirty games zingine yaani tumeona wazi haki ikipeperushwa ndo misimu tulioshuhudia undava ukimaliza nchi yetu tunabaki kuangalia kwasababu hatuna pakusemea woga umetukumba tumenyimwa kujiamn la msingi kutafta nauli...
For my own experience vidonda vya tumbo vimekaa as an imagination thing ziko dawa nyingi zakutibu haya madhara kama unaliskia tumbo lako kuuma ukahisi vidonda Leo nakupa kirutubisho hiki na tatz utaliskia tuu tafuta Hindi bichi yaani ambalo bado kukauka then pukuchua Yale mahind yenyewe halafu...
Most of the time guys tunakua interested na tunachokitamani kuliko tulicho pangiwa pengine Kwa Akili zng ndogo nahs UNAHITAJI kuwekeza Kwa mwenye utashi na muda ukakupa jibu you need time
Dada zetu Ni watu ambao wanapendwa kubembeleza Kwa alie kupenda atazingatia ratiba zako you need creat distance ili aone umuhimu wako atakutafuta keep distance
Mikwara Ni sehemu ya maisha ya mpira kama ilivyo betting tu Kwa nlivyo waona yanga wanafungika vema tuu SEMA bado kupata Ile mechi YENYE ushindani tuone J moc itakuaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.