Apo inabidi wewe kama wewe utathmini sababu inayofanya uchukie lkn pia na huyo mwenza wako umshirikishe na kumkanya huenda ulichoambiwa au kuckia ni uongo kwa iyo fanya utafti alafu pia ufanye maamuzi labda ya kuachana nae au uendelee nae
Habari za muda huu rafiki na jamaa,
Mimi napenda kujifnza ufndi wa pikiki, lakini sijui ni aina gani ya pikiki ukijua kuztengeza huweza kuleta kipato zaidi na kujifnza huko huweza kuchukua muda gani kwa mwenye uelewa?
Naomba ufafanuzi zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.