Recent content by Bozie

  1. B

    Special kwa wanaotafuta ajira: Ni kweli kwa sasa ajira zimekuwa ni kizungumkuti lakini kazi za 'marketing' zipo kila kona nchini

    Ndugu umeongea vizurii ila hizo kazi za marketing ingeziweka bayana tuzione , yaan utaje moja baada ya nyingne na si lazma utaje zote
  2. B

    Nataka kuahirisha kuoa Oktoba Mwaka huu

    Apo inabidi wewe kama wewe utathmini sababu inayofanya uchukie lkn pia na huyo mwenza wako umshirikishe na kumkanya huenda ulichoambiwa au kuckia ni uongo kwa iyo fanya utafti alafu pia ufanye maamuzi labda ya kuachana nae au uendelee nae
  3. B

    Ufundi wa pikipiki gani unalipa?

    Habari za muda huu rafiki na jamaa, Mimi napenda kujifnza ufndi wa pikiki, lakini sijui ni aina gani ya pikiki ukijua kuztengeza huweza kuleta kipato zaidi na kujifnza huko huweza kuchukua muda gani kwa mwenye uelewa? Naomba ufafanuzi zaidi.
Back
Top Bottom