Dar ni mji wa watu wasio na haraka kwa kweli
Its so sad
Na bado kila mtu anadream kununua gari, wote tukiwa na magari sijui ndio itakuwaje
Magufuli aliona mbali kujikikita kuondoa foleni Dar.
Mimi nilizuiliwa kufanya interview ya kazi kisa jina la ukop halionekani vizuri ila picha yangu ipo kwenye vyeti vyote
Eti wanaamini barua ya utambulisho kuliko hiyo kadi aiseee sitasahau
Mungu awabariki sana wale watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.