Recent content by BoyOfGod

  1. BoyOfGod

    Hizi Hapa Nchi 15 Zenye Wanawake na Wadada warembo Zaidi Africa

    Nigeria ya pili wapi na wapi Hata Tz hapo nahisi kama list ya mchongo
  2. BoyOfGod

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Eeh Mwenyezi Mungu njoo utunusuru waja wako Maana wanadamu wamemaliza kuilima nchi sasa wameanza kulimana🙏
  3. BoyOfGod

    CCM inamdhalilisha Rais Samia

    Nashangaa nchi ya kidemokrasia, lakini CCM inaogopa kupingwa kijanja janja Na hii ndio dalili ya wanayoyafanya hata kwenye uchaguzi dhidi ya vyama vingine Ili tumpate Magufuli mwingine ni lazima kuwepo na upinzani mkali kuanzia ndani ya chama mpaka nje Vinginevyo hapo tutapata mafisadi tu Shame
  4. BoyOfGod

    Mkosoaji wa Serikali ‘aliyetekwa’ siku 5 zilizopita Mbeya apatikana Igunga

    Yaani hii nchi usipobubujikwa na machozi ya furaha kama asemavyo mwashambwa Utabubujika kama haya sasa
  5. BoyOfGod

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Mimi nimeishia kusoma hapa🙄 Tangu lini wewe ulileta habari mpya zaidi ya kusifia sifia tu
  6. BoyOfGod

    Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Kwa mfano kweli akapost connection ya rais Unadhani nani atakuwa Hana akili Mtu unarekod faragha ili iweje
  7. BoyOfGod

    Mwaka wa nne huu naishi Mbeya, Wanyakyusa nawapa maua yenu japo mna mapungufu machache

    Nikiwa Kama myakyusa pure nasemaj You are 99% correct
  8. BoyOfGod

    Video: Jinsi makombora ya Iran yanadunguliwa juu ya eneo takatifu Duniani kwa Wakristo, Waislamu na Wayahudi

    Mmmh sahih Israel amekaa kimya , wao wakianza kulipwa kisasi wanaanza kulia lia
  9. BoyOfGod

    Tanga: Polisi wapiga Stop mkutano wa Hadhara wa CHADEMA

    Tunapoelekea wataanza kusimamisha mpaka mikutano ya injili kisa Mwenge
  10. BoyOfGod

    Kwanini Mdude Nyagali anatumia lugha za kumdhalilisha Rais wetu pasipo kuchukuliwa hatua? Naumia sana moyoni mwangu

    Umesahau kumshukuru mheshimiwa Rais awali ya yote,,,umenikera😊
  11. BoyOfGod

    Rais Samia, Makonda anataka kuigawa Serikali yako na Chama kuelekea uchaguzi, ni mtego. Usikubali, ana nia ovu

    Fuatililia hasa kipindi kile ndugai katoa kauli ya kupinga kukopa kopa Pia kwenye ule mkutano wa wanawake chadema Alipomwambia mbowe kua Kuna watu wapo ndani ya chama wanaompinga sio yeye tu hata Ccm wapo
  12. BoyOfGod

    Bruce Africa bonge la artist ila biography yake nimeikosa hivi ni mtanzania au mkenya?

    Ni mmbongo huyo, nadhani mtu wa kaskazini Amewahi kushiriki BSS
  13. BoyOfGod

    Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Mungu alimuumba mwanamke amsaidie mwanaume kwenye kazi aliyowapa na si vinginevyo There is a problem somewhere
Back
Top Bottom