Nashangaa nchi ya kidemokrasia, lakini CCM inaogopa kupingwa kijanja janja
Na hii ndio dalili ya wanayoyafanya hata kwenye uchaguzi dhidi ya vyama vingine
Ili tumpate Magufuli mwingine ni lazima kuwepo na upinzani mkali kuanzia ndani ya chama mpaka nje
Vinginevyo hapo tutapata mafisadi tu
Shame
Fuatililia hasa kipindi kile ndugai katoa kauli ya kupinga kukopa kopa
Pia kwenye ule mkutano wa wanawake chadema
Alipomwambia mbowe kua Kuna watu wapo ndani ya chama wanaompinga sio yeye tu hata Ccm wapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.