Sio amchague slaaa kuwa msaidizi wake sema slaaa ajiandae kurudi bongo aje kuishi kama raia wa kawaida tuu.. Hahahaa tabu ipo palepale
Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
Nikichogundua wewe mwenyewe mpiga zumari tuu.. Usimba umekujaa.. Unamuongelea Katanga ommy wa ufm ambaye kipindi kizima na Watu wake wanachambua habari za simba tuu.. Au unafikiri wapenda Michezo hatujui radio zenye watangazaji wanaz wa simba hata wanashindwa kujizuia mahaba yao!!
Jinsi ulivyoandika tu unaonekana umejawa na udini, kwa nini haitokei hata kwa bahati mbaya siku moja waislam wakateuliwa wengi kuliko wakristo hata kwa 60% tu? Miaka ya nyuma mlikuwa mnajificha kwenye kichaka kua waislam wengi hawkuwa na elimu ya juu.. Lakini Leo waislam wengi wasomi.. Sura ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.