Recent content by boy mzuri

  1. boy mzuri

    Sitafuti mpenzi wala nani, Miss Natafuta ni jina tu

    Watu wa humu wanapenda sana kujudge kupitia avatar ama I'd utadhan hawajui asilimia kubwa wanafake humu kila kitu (na kwenye hii comment hawachelewi kutokwa povu)
  2. boy mzuri

    Hii ni mahsusi kwa ajili ya wanaume

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. boy mzuri

    Hivi nini kilimsibu huyo Genious wa mziki wa bongo flava.

    Kuna sehemu nmeweka mabano sku niktulia ntamwaga vyote hapa
  4. boy mzuri

    Hii ni mahsusi kwa ajili ya wanaume

    Mgeni ila upo speed hatari, hongera kwa hilo mam
  5. boy mzuri

    Hivi nini kilimsibu huyo Genious wa mziki wa bongo flava.

    Katika kumkabidhi mtoto wao walimpa sharti la kutoendelea na mziki sababu ya heshima katika familia ile waliyokuwa nayo katika jamii (sitaliongelea hili kiundani tafadhari) ... wakampa na mali za kutosha ili asje akaingiwa na tamaa za kurudi tena kwenye muziki...
  6. boy mzuri

    Hivi nini kilimsibu huyo Genious wa mziki wa bongo flava.

    Sehemu alipooa ndo palimponza yaan (ukwen)
  7. boy mzuri

    Natafuta mume mwenye VVU

    Lispokupata wewe litampata mwanao , utajilinda wewe lakini hutomlinda mkeo . Sio wote wanaopata hili tatzo ni wamejitakia wengne wanajilinda kama wewe lakini ndo hivyo tena yanawakuta ya kuwakuta .. tujaribu kuwa na lugha nzuri tu
  8. boy mzuri

    Natafuta mume mwenye VVU

    Hiyo ni mipango ya mungu mkuu,mimi kuna mtu namfahamu tokea mwaka 1985 anaishi na hiyo hali....
  9. boy mzuri

    Natafuta mume mwenye VVU

    Kuna aliekuuliza hayo yote ! kitulize bas
  10. boy mzuri

    Natafuta mume mwenye VVU

    Wewe ni nani mpaka ujue atakufa mapema na kuacha watoto !!!
  11. boy mzuri

    Natafuta mume mwenye VVU

    Naona watu humu wanacheka na kumbeza dada wa watu kana kwamba wao ni wakamilifu sana ,ila niwaambie kitu wote tutakufa tu ,tena wengne kwa magonjwa makubwa kuliko hili lililozoeleka ... acheni ujinga Kama huna cha kuchangia ni bora ukakaa kmyaa ...
  12. boy mzuri

    Silaha za kivita za Urusi na mwiso wa Dunia

    Itakuaje na yaje kutokea kweli.. inamaana baba yetu aliyetuumba anatufanya kama midoli , yaani anatuumba tupigane ,tuumizane ila kwake ndo furaha ama ni vipi!! Kwa maana nikskiaga ama kuona kuwa (imeandikwa ) wewe unadhani nn tafsiri yake..... M/MUNGU NISAMEHE MIMI SI MKAMILIFU.....
Back
Top Bottom