Hawa Bvr operator hawajui kutumia hizi machine? au hizi machine ni mbovu manake haiwezekani wanaandika mtu mmoja afu tunasubir nusu saa machine haifanyi kazi.
Magufuli hana sera ila alisema atafata ilani ya ccm ndo mana alisema hatawaangusha.ccm wanajua wananchi sahivi wanataka nini kumbukeni kipindi kikwete anagombea walijua wananchi wanataka raisi handsome kijana ndivyo hivyo safari hii imegundua tunataka mtendaji kazi.Lakini ukweli ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.