mdahalo ni lazima uwepo ili tuwapime wao wawili mbali na ushawishi wa wafuasi wao. ila sio lazima wajibu wakiwa wamesimama wanawez kufanya madahalo wakiwa wamekaa kitako
watu kadhaa nawafahamu wameingizwa ktk huo mchakato, umesahau 50,000 waliyolipia kwajili ya mafunzo ya ujasiriamali na nidhamu ya matumizi ya hizo pesa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
nakubaliana na wewe, nadhani police officers na law enforcements agents wengine wanatakiwa kwenda a mile ahead, tukio kubwa kama hili mara nyingi hutumia muda mrefu sana kufanya planning, arrangements, logistics, usafir wa kuwapeleka na kuwatoa pale, survaillance team etc. mara kadhaa hua pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.