Recent content by Bossprota

  1. Bossprota

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    Ahf story kuhusu huku Ni nyingi kuliko uhalisia huku Kuna option nyingi za kununua mmandinga nikweli zipo zawizi,zipo za matreikerz,zipo za bank repossession,zipo za showroom mpya, zipo used second hand hapa kwenye second hand ndio hatarii pia zipo za mnadani ambazo unazipata kwa Bid & auction...
  2. Bossprota

    Naombeni ushauri wa Biashara ya vitenge kutoka Zambia

    Ni biasha Yenye faida kubwa saaana ushauri Anza na mtaji wa lski mbili njoo Tunduma (black) chukua mzigo hata pisi 15 hapo na usafili nk inawza fika Hadi laki mbili nanusu hivi ukifanikiwa kufikisha mjini unaeza uwa faida Hadi paxu kwa pasu some times
  3. Bossprota

    Jinsi ya kuepuka utapeli katika bashara za mitandaoni

    Nenda play store download app inaitwa Deni app hao jamaa me wamenisaidia saana sababu hakuna Kati yenu mwene haki ya kuaminiwa kwamfano Tv inauzwa laki 5 MTU anataka 2.5 ndio atume mzigo Kama wew ulivo na mawenge nae ndio na yeye anakuwa na mawenge vilevile Kama wewe Unahitaji kuaminiwa na yeye...
  4. Bossprota

    Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

    Kama upo shap uza kipodozi Cha Congo kutoka Tunduma ndani ya mwezi una eza piga 1,500,000/= Kwa mtaji huwo kikubwa upate wateja sahihi na vipodiz sahii mfano ukanunua vitube vinavyo uzwa 2000 Tunduma Dar 4000 Hapo ukapata wateja wa uhakika location ya uhakika unatoboa
  5. Bossprota

    Fursa zinazopatika kipindi cha mavuno ya ufuta maeneo ya Kilwa kuanzia May mpaka Agosti kila mwaka

    Ufuta Ni big deal ambalo Ni Kama wengi hawajafungua macho mfano mwaka huu huku songwe ufuta ulifika Hadi 85000 kwa kilo 20
  6. Bossprota

    Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

    Na vipi kuhusu satellite Internet mfano hawa Konnekt wana program yao ile ya xpress wi fi vip kunamtu ashawahi deal na hizi mambo
  7. Bossprota

    Msaada jinsi ya kutangaza biashara kwenye mitandao ya kijamii

    Kwa sasa unaeza kutumia YouTube Ads pia ina matokeo makubwa saana sema huku YouTube na Google Ads kumevamiwa na watu wa mikopo na watu wakubet saana Ila fields zingine pia zinanafasi ya kupata Hii fanbase
  8. Bossprota

    Paypal Tanzania

    0762363062 nichek boss
  9. Bossprota

    Mbinu za kumteka dada wa kazi

    Haha[emoji112]
  10. Bossprota

    Mashine za kuprint mifuko ya mazao

    Habari wakubwa!!! Nahtaji kujua bei ya mashine ya kuprint mifuko ya mazao kama Michele mpunga mahindi unga nk na mawasiliano kama Kuna Mtu anajua
  11. Bossprota

    Miliki Online Business kwa Gharama Nafuu

    Hapo kwenye POD Nnandoto napo na nshawahi Fanya haswa Kwa majukwaa ya World wide kama teespring nk nilitamani sana ije iwe kibongobongo ahseh ila one-day yess
  12. Bossprota

    INAUZWA Nauza sound bars

    Vp bass yake IPO au ni bar peke yake
Back
Top Bottom